mwanadome
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,912
- 5,255
Ujinga sana mikataba walisaini wenyewe tena kwa kupigiwe kelele sana ila waliwaita walio wataka kuacha pupa ya hiyo mikataba kua ni wavivu wa kufikiri.leo kinyago walichokichonga kina watafuna ndo wanatutaka kua wazalendo kuanzia kesho na vaa skafu ya Tanzania ili kumtia moyo mh,mwiguluHata mm ningekuwa mwanasheria ningewatetea, huo uzalendo mpelekee bibi ako kijijini
Sent using Jamii Forums mobile app