Haahahahaha....acha kabisa, usicheze na imani za watu, ni sababu za wao kujumuika, kutengeneza pesa, kusikilizwa, kutafuta wachumba, kutembea tu, kuimba, kufanya zinaa, kutengeneza tabaka lao, kutengeneza jumuiya yao, na mengine mengi tu ya kimwili hasa...kifupi utapeli, na bar owner kawapatia mno..si walikuwa wanasali apate majanga? Ehh wamlipe basi..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.