Masudi Kipanya kipaji kinachopotea!, alitakiwa awe Chuo kikuu akifundisha wengine kuchora

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,787
Huyu jamaa ana kipaji cha ajabu na wala hakupaswa kuwa anashinda kuchora vikatuni Magazetini, na kufanya udaku Clouds Fm bali Masudi Kipanya alifaa awe Profesa wa Ubunifu, alipaswa akabidhiwe Department ya Chuo Kikuu cha ubunifu na atumike na kwenye viwanda kufanya product design.

Hapa namaanisha kwa mfano hata tu kudesign chupa ya maji ya Kilimanjaro au nembo ya kutumika Air Tanzania na vitu kama hivyo, lkn kwa sasa hivi hali jinsi ilivyo anaishia hivyo na akiondoka haachi wa kumrithi, laiti kama angekuwa ni Profesa wa Chuo Kikuu basi angeaandaa watu kama yeye wengine wengi, ...
 
Yupo vizuri sana katika Sanaa ya michoro
Katika maswala ya kipato yupo vizuri sana. Na ndio Msanii au mtangazaji aneongoza kwa kuwa na Gari ya bei ya juuu kuliko wasanii na watangazaji wote apa Tanzania


Hiyo inaisaidia nini nchi? Hata kaama angekuwa na anamiliki nyumba chini ya bahari siyo ishu, ila hapa naongelea nchi kufaidika na vipaji vya Wananchi wake!
 
Huyu jamaa ana kipaji cha ajabu na wala hakupaswa kuwa anashinda kuchora vikatuni Magazetini, na kufanya udaku clouds fm bali Masudi Kipanya alifaa awe Profesa wa Ubunifu, alipaswa akabidhiwe Department ya Chuo Kikuu cha ubunifu na atumike na kwenye viwanda kufanya product design, hapa namaanisha kwa mfano hata tu kudesign chupa ya maji ya Kilimanjaro au nembo ya kutumika Air Tanzania na vitu kama hivyo, lkn kwa sasa hivi hali jinsi ilivyo anaishia hivyo na akiondoka haachi wa kumrithi, laiti kama angekuwa ni Profesa wa Chuo Kikuu basi angeaandaa watu kama yeye wengine wengi, ...

Nadhani kuna kitu unakimiss, Masudi anaweza hasiwe mchoraji mzuri sana kuliko wengine, sema Masudi ana kipaji, ni Mchambuzi mzuri, sio mwoga, sio MNAFIKI na pia ana uelewa mkubwa sana, So katuni zake anazochora zinakuwa na ujumbe mzito sana usio na unafiki ndani yake
 
Huyu jamaa ana kipaji cha ajabu na wala hakupaswa kuwa anashinda kuchora vikatuni Magazetini, na kufanya udaku clouds fm bali Masudi Kipanya alifaa awe Profesa wa Ubunifu, alipaswa akabidhiwe Department ya Chuo Kikuu cha ubunifu na atumike na kwenye viwanda kufanya product design, hapa namaanisha kwa mfano hata tu kudesign chupa ya maji ya Kilimanjaro au nembo ya kutumika Air Tanzania na vitu kama hivyo, lkn kwa sasa hivi hali jinsi ilivyo anaishia hivyo na akiondoka haachi wa kumrithi, laiti kama angekuwa ni Profesa wa Chuo Kikuu basi angeaandaa watu kama yeye wengine wengi, ...

Unaweza ukawa una hoja ila nadhani kwa pesa ambazo anazipata tu kwa kuchora hizi cartoons zake sidhani hata kama huko Chuo Kikuu wataweza kumlipa. Kuna mtu mmoja anamjua anasema hizo cartoons zake tunaweza kuona kama vile anafanya mzaha ila analipwa pengine hata kuliko Mhariri wa Gazeti au wakata wanaenda sawa kwani ni ukweli usiopingika kwamba kuna watu wengine hununua magazeti kwa ajili tu ya kuangalia hizo cartoons zake na ndiyo maana unaweza kuona hata magazeti na majarida mbalimbali yanamgombea ili wafanye nae kazi.
 
Huyu jamaa ana kipaji cha ajabu na wala hakupaswa kuwa anashinda kuchora vikatuni Magazetini, na kufanya udaku clouds fm bali Masudi Kipanya alifaa awe Profesa wa Ubunifu, alipaswa akabidhiwe Department ya Chuo Kikuu cha ubunifu na atumike na kwenye viwanda kufanya product design, hapa namaanisha kwa mfano hata tu kudesign chupa ya maji ya Kilimanjaro au nembo ya kutumika Air Tanzania na vitu kama hivyo, lkn kwa sasa hivi hali jinsi ilivyo anaishia hivyo na akiondoka haachi wa kumrithi, laiti kama angekuwa ni Profesa wa Chuo Kikuu basi angeaandaa watu kama yeye wengine wengi, ...
Huyu jamaa,ni zaidi ya uchoraji.Ana kijiji alianzisha Kule Sikonge,vijana wanafundisha maisha ya kujitegemea yale asili.Laiti kama serikali ingempa ushirikiano,tungeweza kuwa na vijiji kama vile kila wilaya,ingesaidia vijana wetu kutokaa vijiweni
 
Barbarosa, anachokifanya Masoud hakifundishiki. Kuchora katuni ni jambo A, lakini kuipa UHAI WA KIMAUDHUI katuni yako ni jambo lingine.

Mtaani wapo watu wengi sana wanaweza kuchora vikaragosi, shida ni je WANAWEZA KUVIBEBESHA UJUMBE? Mheshimu sana mtu anayechora kapicha kadogo tu lakini kakahitaji tafsiri. Hiyo ni falsafa.


Kuchora cartoon ni jambo moja na kuipa ujumbe mahususi ni jambo jingine....hivyo ni kweli kabisa mitaani waoo wengi wachoraji wazuri tu lakini je wanauwezo wa kuipa cartoon ujumbe kama Masudi?
 
Hiyo inaisaidia nini nchi? Hata kaama angekuwa na anamiliki nyumba chini ya bahari siyo ishu, ila hapa naongelea nchi kufaidika na vipaji vya Wananchi wake!
Kwani kuwa na mkwanja au kipaji Lazima usadie nchi.
Hao madaktari bingwa wengi mbona wapo njee ya Tanzania. Wanasaidia nchi nyingine
 
Back
Top Bottom