Masudi Kipanya kipaji kinachopotea!, alitakiwa awe Chuo kikuu akifundisha wengine kuchora

Hiyo inaisaidia nini nchi? Hata kaama angekuwa na anamiliki nyumba chini ya bahari siyo ishu, ila hapa naongelea nchi kufaidika na vipaji vya Wananchi wake!
Nchi yenyewe haijamwona wewe nan? At least kajiongeza Hajawa mjinga hata àkatupa maarifa ya maisha ile season one ya kina Abdul nilijifunza mengi alijichanganya zilizofuatia lkn siwez kuacha kumshukuru kwa nilichopata season one...pili clouds hapigi umbeya anajibrand yaan kati ya watu nawaelewa na wana uthubutu n yy ..hapana chezeya kp..
 
Kada Wa Ccm Huyo Japo Anajitambua Kutokana Na Kazi Zake!!!!
Atakuwa anazugia ufsisiemu kuogopa kutolewa kucha,ila jamaa kanyoka sana ukikutana nae kwenye mahojiano kama unamakando kando jamaa anakumwaga hata hakopeshi.
 
Hii ni hoja ya msingi, ukitafakazi katuni zake na ata maongezi yake yupo smart sana kwa kweli. Anautendea haki ubongo wake
 
Masoud, amina chifupa na kaka bonda walikua wanaongoza kipindi cha watoto jumamosi clouds miaka iyo ya tisini kabda ata ya gazeti la mwananchi kuwepo
 
UDSM kuna shule ya fine and performing arts miaka na miaka, wapambane kivyao huko watuachie masoud wetu.
Usiwe kama wale maskini waonapo mtangazaji bora wa tv wanaanza kumshauri akatafute kazi bbc au dw alafu sisi watanzania nzania tunabaki na watangazaji vilaza
 
Masudi Yuko clouds toka miaka ya 1998/99 huko Mkuu, fuatilia historia yake, Enzi hizo hata Hilo gazeti la mwananchi halipo.

Ameanza akiwa mtoto mdogo katika kipindi cha watoto yeye na Marehemu Amina Chifupa kama sikosei.
 
masoud ni habari nyingine..
mwananchi wanaijua thamani yake.... ktk kufikisha ujumbe wa michoro kwa jamii ya wahabarika..
sasa mpaka mkuu wa nchi anasoma na kupitia cartoon zake daily...!!..ni next level ile...
 
Back
Top Bottom