Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 3,098
- 5,466
Wakuu nauliza hapo ni ipi masters nzuri yenye fursa na upana katika fursa kwa taasisi binafsi na zile za umma kati ya Masters of arts in Public administration (UDSM) au masters of Human resource management (Mzumbe)
Karibuni kwa ushauri
Karibuni kwa ushauri