Shadow120
Member
- Jul 28, 2018
- 30
- 12
Wadau, kuna kitu najiuliza kuhusu MPH ya MUHAS. Kwa miaka mitano mfululizo now naona watu wengi sana wanaiappky kulingana na Masters degrees nyingine. Hii imepelekea mimi kujiuliza swali je ni kwa sababu gani watu wanaikimbilia hii course?? Kwa wingi wa wanaoiapply na waliograduate nikafikiri may be soko lake litakuwa saturated but naona still watu wanaing'ang'ania. So swali langu kubwa ni kwanini watu wanaikimbilia hii course??