Masters Degree

braity

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2020
Posts
424
Reaction score
600
Masters of education in assessment and evaluation.
Naomba Tushauriane wanazuoni hii kozi nahitaji kuongeza ujuzi. kabla sijajitosa rasmi, kama yupo wa kuniboreshea kwa kujenga kozi nyingine nzuri zaidi nakukaribisha sharti iwe Education tu. Bachelor yangu ni Education. Kwa wale walamba nyau usinishauri kutafuta hela mimi nataka kusoma tu, zaidi uzi unawahusu Master holders nakuendelea. Bachelor Degree kushuka chini si dhani kama una cha maana zaidi though sijakutenga.
 
Ticha una mikwara sana na bachela yako ya ualimu ungesoma kozi za kiume sijui ungetuchambaje.....ukiwa na hata C ya basic mathematics o level kuna 100k tsh.
 
Je umeshakula kiapo cha utii kwa Kipenzi chetu cha dhati mwamba mkombozi wa waislamu Imam Hussain ibn Ali A.S?

Na kama bado unasubiri nini?

The road to Karbala, join the movement NOW!

 
Nimepata chuo master of arts with education, DUCE. Bado sijapata ruhusa kutoka kazini, Tunaweza kupeana maarifa kidogo
Unaposema kazini unamaanisha ni mtumishi wa umma.
Kama ni kweli ....

We soma chochoteee ili mradi upo kwenye mstari wa elimu ya muundo wako wa ajira.

Mambo ya nisome nini serikali haina, utumishi huulizia vyeti hawaangalii content ya elimu yako.

Kuna sisi tuna masters mpaka zina expire ila hatujaona umuhimu wake, tumeambiwa TUSUBIRI..!!!

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Sijasoma sana Wala sitegemei kusoma sana .
Fanya kuresearch on these two Masters courses
1. Masters of education in administration and management (MEMA)
2. Masters of Arts with education.
Kila la kheri katika kupambana vyeo, hapo DEO kama unainyemelea kwa coarse hizo.
 
Yeah ni mtumishi wa umma, Kwa sisi tulio taasisi za elimu ya juu master's degree au PhD ina-matter sana, mchawi ruhusa tu hapa...
 
Wewe ni mpumbavu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…