MasterCard vs. Visa: What’s the Difference?

MasterCard vs. Visa: What’s the Difference?

Kimsingi hazina tofauti kabisa.

Zote zinakubalika sehemu nyingi sana duniani.

Sijawahi kukutana na sehemu ambayo inakubali matumizi ya Visa halafu ikatae matumizi ya MasterCard.

Nishawahi kutumia kadi (Visa na MasterCard) za Bank of America kwenye ATM ya CRDB, Bariadi, Simiyu!

Na zote hizo ni kampuni za Kimarekani.

EMT
, remember this debate?
asante sana
 
nilimuuliza mtu wa benki akaniambia ni eneo zinapotengenezwa, master ni us, visa ni uk na nyingine ni sa

natumizi ni yaleyale
 
Hili swali watoa huduma wa CRDB wenyewe walishindwa kulijibu, wakaishia kuniambia ziko sawa tu ila katika uhalisia sidhani kama kampuni zitatengeneza Cards mbili tofauti halafu ziwe zinafanya a typical operation! Naimani kuna tofauti ipo ila haijawekwa wazi,

Ni sawa na kampuni ya matairi inayotengeneza off-road tyres pamoja na Sport tyres halafu umuulize mtu akujibu kuwa yote sawa tu kwa maana ni funga lolote tu gari itaenda!
 
Hili swali watoa huduma wa CRDB wenyewe walishindwa kulijibu, wakaishia kuniambia ziko sawa tu ila katika uhalisia sidhani kama kampuni zitatengeneza Cards mbili tofauti halafu ziwe zinafanya a typical operation! Naimani kuna tofauti ipo ila haijawekwa wazi,

Ni sawa na kampuni ya matairi inayotengeneza off-road tyres pamoja na Sport tyres halafu umuulize mtu akujibu kuwa yote sawa tu kwa maana ni funga lolote tu gari itaenda!
na vipi kuhusu maestro na smart card au zenyewe zina matumizi gani?
 
The question here is one of specificity.

Which Visa and which Mastercard?

The banal names have a myriad configurations, which makes the Mastercard vs.Visa question lacking specificity to give it a meaningful reply.
Mhhh freemason katika ubora wake
 
Hili swali watoa huduma wa CRDB wenyewe walishindwa kulijibu, wakaishia kuniambia ziko sawa tu ila katika uhalisia sidhani kama kampuni zitatengeneza Cards mbili tofauti halafu ziwe zinafanya a typical operation! Naimani kuna tofauti ipo ila haijawekwa wazi,

Ni sawa na kampuni ya matairi inayotengeneza off-road tyres pamoja na Sport tyres halafu umuulize mtu akujibu kuwa yote sawa tu kwa maana ni funga lolote tu gari itaenda!
Boss Visa na Mastercard ni kadi mbili tofauti ila ziko sawa tu kwenye matumizi. Inaweza kuwa Credit Card au Debit Card.
 
Back
Top Bottom