Kitu cha kwanza ungefanya ni kuingia kwenye website ya hicho chuo na kupakua prospectus yao na kuisoma kikamilifu. Halafu jazia na ushauri wa hapa JF.habari wadau naomba mnisaidie kuhusu hiyo course wanao ijua vizuri nataka nikaisome pale chuo cha ushirika
ushauri wenu jamani