Hivi kwa nini mastaa hasa wa kiume wanapendwa na kina dada wengi, wazuri, wastaarabu lakini hawako tayari kuwa nao ila wako tayari kuwa na mahusiano na mastaa wenzao hata kama wanatabia mbaya, n vice versa is TRUE
Unamzungumzia Nani toa mfano isijekuwa unamsema wema na idriss .....
Mastar ni wauza sura wengi na hivyo hupenda wauza sura wenzao.. ni kama promo wanajifanyia kutokana na scandal wanazofanya au alizofanya mmoja wapo article wakichoka sasa na kuishiwa ustar wanarudi kwa wastaarabu afu tunawatimua nasie
Ukiachilia mbali factors nyingine. Labda mtoa mada nkuulize, sasa ukiwa staa utajua ni demu gani ana mapenzi ya kweli (good woman) na nani ambae ni bitch (anaetaka pesa,status na connection yako)?? Bigbootylover
Ukiachilia mbali factors nyingine. Labda mtoa mada nkuulize, sasa ukiwa staa utajua ni demu gani ana mapenzi ya kweli (good woman) na nani ambae ni bitch (anaetaka pesa,status na connection yako)?? Bigbootylover
Connection zipo nyingi mkuu, pia hata hao mastaa wenzao pia wapo wanaokuwa nao sababu ya pesa au majina. Mitaani kuna wanawake/wanaume wazuri na wastaarabu ambao mastaa wangefanya nao maisha