Unataka kupakwa mafutaWakuu habarini....niko arusha naulizia kama anafahamu sehem yoyote ambayo ina massage..
Natafuta massage parlour...Unataka kupakwa mafuta
Sa Si ndio kupakwa wese !!!!.......Natafuta massage parlour...
Naona watu wanashindwa kuelekeza wanabaki kuuliza tuuuMwelekezeni tu atakachofanya uko atajua mwenyewe
Okayy....daah maana nimeulizia xanaSidhani kama Arusha wanayo maana zoezi zima kinaambatana na romantic language, pia watu huko hawaaminiani avue nguo alale atakuwa na wasiwasi wa sachiwa salio lake.
Zipo bana arusha nzima kusiwe na massage centers ???? Kweli ??....isitoshe ni jiji la kitalii ....mtoa mada na wewe umekubali kabisa ....Sidhani kama Arusha wanayo maana zoezi zima kinaambatana na romantic language, pia watu huko hawaaminiani avue nguo alale atakuwa na wasiwasi wa sachiwa salio lake.
Soma juu reply yangu hapo ...Okayy....daah maana nimeulizia xana
Zipo sehemu gani mkuu? Tuambie basi maana mimi mwenyewe napenda sana mambo hayo hasa body to body, ila kama ni Arusha nitaacha kila changu kwenye gari nabeba hela yao tu ya kuwalipa.Zipo bana arusha nzima kusiwe na massage centers ???? Kweli ??....isitoshe ni jiji la kitalii ....mtoa mada na wewe umekubali kabisa ....
Kumbuka kuna tofauti kati ya scrubbing, massage na full body massage.Ziko kibao sana kila hotel kubwa ya kitalii ziko na kila barbershop kubwa wanamassage room so ni wewe tu
Kuna moja ipo pale Snow Crest Hotel...Wakuu habarini....niko arusha naulizia kama anafahamu sehem yoyote ambayo ina massage..
Nenda salon ya wanaume yoyote Kali hapo jijini wanatoa huduma hiyo au waulize wao wanazijua. Massage za arusha ni Kali sana sema huenda isiwe na happy endingWakuu habarini....niko arusha naulizia kama anafahamu sehem yoyote ambayo ina massage..

Zipo nyingi sana chief, mimi napendelea ya Mt. Meru hotel ghorofa ya pili tu kuna spa yenye msg parlour ya ukweli.Wakuu habarini....niko arusha naulizia kama anafahamu sehem yoyote ambayo ina massage..