meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,829
wakati pinda akijiaandaa kufukuza madaktari,taarifa zinaniambia kuwa madaktari wanajiaandaa kujiuzulu kwa pamoja(mass resignation).
Hii inamaanisha madaktari wote nchini pamoja na wale wa hospitali za private wanaachia fani yao ya utabibu.
SOURCE plz
Not possible
wao sio wa kwanza kufanya hivyo!
unaumwa.........
Hata wa private.... Sidhani aisee hapa umeweka kachumvi kidogo ila Liwalo na liwe..
source plz