Maisha ni safari mkuu,Pesa hazina limit.Hivi hawa watu huwa hawashibi kabisa
Mwanaume na kauli hizi wanapigwa miti sana mitaani.Ni jambo jema!
Kama Halima Mdee na wenzake.
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai!
Uzuri hao kina Halima Mdee sio wanachama wa CHADEMA, hao ni wabunge wa ikuluNi jambo jema!
Kama Halima Mdee na wenzake.
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai!
Safi CHADEMA haiwatambuiUzuri hao kina Halima Mdee sio wanachama wa CHADEMA, hao ni wabunge wa ikulu