Asili Tanganyika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 571
- 82
Nahisi kipanya kajitunzia akiba ya maneno hivi.....
Akishinda Lowasa, atamfuata na kumwambia vile alivyo mchora na akiamini kwamba yeye ndie King of the Sea.
Na......
Akishindwa Lowasa, ataweza kumfuata mpinzani wa Lowasa na akim-beza kwa kushindwa pamoja na kujiona kama King of the Sea
Kama ulikuwepo hivi teh teh teh