Manvi chali
Kipanya janja sana huyu jamaa.
Hiyo katuni ina maana mbili tofauti kabisa, ngoja nianze kuzi fafanua....
1- Kamaanisha fisadi papa katika ubora wake akiimiliki bahari huku samaki wadogo wasiweze kum-babaisha.
2- Kamaanisha papa katika ubora wake akiweza kutawala bahari pasipo kuhofia samaki wadogo
Katika hili we ndo mjanja