Masomo ya QT na Resitters mwaka 2018

Masomo ya QT na Resitters mwaka 2018

Joined
Aug 9, 2017
Posts
65
Reaction score
24
Baada ya kufanya vizuri matokeo ya QT na Resitters mwaka 2017, sasa tunaendelea kusajili wanafunzi wapya wa QT na Resitters, njoo ukutane na walimu wazoefu na wenye taaluma za ualimu. Tupo Upanga Mashariki karibu na Zanaki Secondary. Wasiliana nasi kwa simu hii 0676450289 au excellenttrainingcentre20@gmail.com. Masomo yapo ya asubuhi na jioni kwa wafanyakazi!!
 
Ungeweka na matokeo ya waliofanya vizuri ingependeza zaidi mkuu.
 
Back
Top Bottom