Masomo kipindi cha covid19

Masomo kipindi cha covid19

Mgwila junior

Senior Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
104
Reaction score
74
Kwanza napongeza Sana uandaaji wa teaching and learning programs hasa katika television mbalimbali nchini kwa lengo la kuwafundisha na wanafunzi kipindi hiki cha janga la Corona.

Katika kuangalia Chanel ya kutazama mchana wa leo nimekutana na teaching program katika TV station X mwalimu akifundisha somo la Geography, Mada ni Tourism (Form II).

Katika kutazama na kusikiliza mwalimu anaonekana mahiri katika somo lake lakini shida mwalimu huyo sio Mahiri kabisa katika kutumia Kiingereza kitu ambacho kinaweza mfanya mwanafunzi adharau au asipende kabisa kuendelea kujifunza.

PENDEKEZO! waandaji waangalie uwezo wa mwalimu katika somo na pia awe mahiri katika lugha, hii itawafanya wanafunzi kupenda kujifunza kupitia TV stations mbalimbali hasa kipindi hiki ambacho wanafunzi Wapo majumbani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza napongeza Sana uandaaji wa teaching and learning programs hasa katika television mbalimbali nchini kwa lengo la kuwafundisha na wanafunzi kipindi hiki cha janga la Corona.

Katika kuangalia Chanel ya kutazama mchana wa Leo nimekutana na teaching program katika TV station X mwalimu akifundisha somo la Geography, Mada ni Tourism (Form II).

Katika kutazama na kusikiliza mwalimu anaonekana mahiri katika somo lake lakini shida mwalimu huyo sio Mahiri kabisa katika kutumia Kiingereza kitu ambacho kinaweza mfanya mwanafunzi adharau au asipende kabisa kuendelea kujifunza.

PENDEKEZO! waandaji waangalie uwezo wa mwalimu katika somo na pia awe mahiri katika lugha, hii itawafanya wanafunzi kupenda kujifunza kupitia TV stations mbalimbali hasa kipindi hiki ambacho wanafunzi Wapo majumbani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ujue mtu akiwa face to face ni rahisi sana kumuelewa kuliko iyo tv radio etc inakuaga ngumu kidogo kwaiyo through tv walimu wakiongea sana kingereza wanafunzi hawataelewa alafu kama mwanafunzi ajaelewa lugha ni ngumu ata kujua kimefundishwa nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanafunzi wenyew ukifundisha kwa kiswanglish unawaacha mbagala wakati Mwalimu upo ubungo, sasa ukitumia kingereza tu ndio hakuna kuelewana
# Halafu hata ukiangalia walimu wa tuition ambao ni maarufu TZ (Mood phys, ngaiza, mgote, etc ) unakuta hawatumii full english
#Kwa experience hadi university students kingereza ni changamoto hasa wakikutana na lecturer anayekipiga mwanzo mwisho
" In short bora kipindi kieleweke hayo ya kingereza wawaachie walimu wa kingereza "
 
Back
Top Bottom