spike
Senior Member
- Jan 8, 2011
- 112
- 15
Nina heka zaidi ya 1700 ambazo ninaweza panda mazao haya, maharage,mahindi, ufuta,alizeti,soya,tumbaku,ulezi etc. Mwaka huu nimepanda heka 120 za maharage ambayo yana mteja tayari na tume saini mkataba wa ununuzi wa hayo maharage . Naweza kulima heka zote kama nitapata soko mapema