Masoko ya madini yaleta maajabu kwenye mapato

Ulisema kituo cha afya
Nadhani hapa tunaongelea Zahanati, wewe unamaanisha Hospitali? Kama ni Hospitali uko sahihi, ila kama ni Zahanati, zipo nyingi tu sasa hivi zimetapakaa, waulize wananchi walioko kwenye maeneo hayo kuhusu huduma zake kama una wasiwasi nazo! Zaidi ni kuwa maana ya Kituo cha Afya ni Zahanati, na si Hospitali!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom