Maslahi ya Wakurugenzi TANESCO

Ukiwa pale mwendowa vim3mo tuuu um3ona report CAG? Kuna kampuni wachina wamepewa tender 53b kampuni haina uwezo...nawikia Mtoto pendwa ndio ana mkono wake.....bahati mbaya wamempa atumie gari la hao wachina amekula mzinga nalo....kila kitu peupeee
 
V8 masaa 24
 
Kuna kazi nyingine kufa nje nje kutokana tu na mshahara wake mnono, marupurupu yake, na madili yake ya kutosha!
 
Kabla ya sijasema chochote nikuulize kwamba ulifanyaje mpaka mwenzako kapata ajali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…