Vyombo vimezibwa mdomo vinaamriwa nini vijadili na nini viandike!! Maskini Nchi yangu!! Najiuliza mtanziko kama huu ungekuwq Kenya vyombo vya hbr vingefanya namna gani!
vyombo vya habari nchini Tanazania ni huru na havibabaishwi na matakwa au mapenzi ya yeyote juu ya kuandika, kutokuandika au kuripoti chochote 🐒Vyombo vimezibwa mdomo vinaamriwa nini vijadili na nini viandike!! Maskini Nchi yangu!! Najiuliza mtanziko kama huu ungekuwq Kenya vyombo vya hbr vingefanya namna gani!
Yaani siku huzi vyombo vya habari vya Tanzania kama vimepigwa shot vile. Habari za maendeleo huko vijijini havireport, matukio nyeti mjini pia havitoi habari.Vyombo vimezibwa mdomo vinaamriwa nini vijadili na nini viandike!! Maskini Nchi yangu!! Najiuliza mtanziko kama huu ungekuwq Kenya vyombo vya hbr vingefanya namna gani!
Mkuu nchi hii hatupendi kukosolewa, huu utamaduni hatuna kabisa. Hebu angalia hata tuna ishi, tunako fanya kazi, mtu akikosolewa ina geuka kuwa uadui.Vyombo vimezibwa mdomo vinaamriwa nini vijadili na nini viandike!!
Maskini Nchi yangu!! Najiuliza mtanziko kama huu ungekuwq Kenya vyombo vya habari vingefanya namna gani!
Duuh! Hatari sana. Balile alilia sana alipoiona hii katuni
Duuh! Hatari sana. Balile alilia sana alipoiona hii katuni
Balile ni tapeli sana.Yani akajidai ameshangazwa na kupatwa sonona kwa kuambiwa ukweli?Holy mackerel!Duuh! Hatari sana. Balile alilia sana alipoiona hii katuni
Vimeshang'olewa meno vimebaki vibogoyoVyombo vimezibwa mdomo vinaamriwa nini vijadili na nini viandike!!
Maskini Nchi yangu!! Najiuliza mtanziko kama huu ungekuwq Kenya vyombo vya habari vingefanya namna gani!
Muhimili wa 4 japo ni muhimili kivuli tu, umeshakuwa 'compromised'.Vyombo vimezibwa mdomo vinaamriwa nini vijadili na nini viandike!!
Maskini Nchi yangu!! Najiuliza mtanziko kama huu ungekuwq Kenya vyombo vya habari vingefanya namna gani!
Sawa TAHIRA WA MAMAvyombo vya habari nchini Tanazania ni huru na havibabaishwi na matakwa au mapenzi ya yeyote juu ya kuandika, kutokuandika au kuripoti chochote 🐒
relax zuzu wa kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anaesota korokoroni kwa uropokaji 🐒🐒Sawa TAHIRA WA MAMA