Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,161
Sikila shughuli msanii anafit, Mzee wangu majuto hivi kweli umetoka Tanga unaaga mkeo na watoto waenda Dar kwenye instar party? Hebu jiulize mara mbili, jitathmini upya kama ulistahili kuwepo kwa nafasi yako na umri wako, mambo mengine waachieni kina lee mutuz
Hahahahaaa! Ila jamaa Wa IG party wasanii Sana, wanamuoneaa Mzee majuto, ila nayeyee limemkutaa juzi Kati kawazingua jamaa wa waruanda walikua wanataka wakapige nae show akachomoa na pesa katia mfukonii, kaulizwaa anajibu kwa jeuri
What goes around comes around hahahaa majutoo weweee twende DIGITAL
Hiyo Insta Party mmiliki ni nani?
Hawa jamaa washajialibia , kwanza walianza kuwachokonoa Nyama Choma , sasaivi tena hili kutomlipa mzee wa watu!!! Daah ndo baaas tena wabongo washawatosaa
Hapa ndio walinichosha zaidi hao insta party