Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,493
- 12,458
Siku izi una bifu na mimi nini binamu? Naona unanikwepa kama ukoma mbea mwenzio
Sikila shughuli msanii anafit, Mzee wangu majuto hivi kweli umetoka Tanga unaaga mkeo na watoto waenda Dar kwenye instar party? Hebu jiulize mara mbili, jitathmini upya kama ulistahili kuwepo kwa nafasi yako na umri wako, mambo mengine waachieni kina lee mutuz
Le mutuz ni mkubwa kushinda mzee majuto basi tu akili ya le mkunduz ipo ushuzini
Ni classmate wa Mizengo Pinda.