Ndg huna tofauti na yanayonisibu,ila mm uchunguzi wangu umefikia 60%,najtahidi ufikie 85%,il niweze kuchukua maamuzi,na mpaka ss hajui na hajielew kuwa namfanyia ujasusi wa hal ya juu.Hawa viumbe n pasua kichwa sna hasa mkiwa in a distance,ni kuumia tu.