Maskini mke wangu

Nimekusubiri siku hizi chache useme,bado "unamtembelea" mkeo?Mke unaishi naye au huwa anatembelewa?So desperate!
 
yahaani kukutana ofisin wanaona haitoshi hadi home du!!Muulize cha maana wanachokifanya kuhusiana na kazi ni nini, kwanza mna mtoto hapo home maana kama yupo free hapo jamaa atakuwa anamega hapo hapo hana gharama za gest wala nini
 

Ndugu unatafuta kuachana kwa nguvu why umchunguze hivyo kama anakuheshimu kila MTU anamapungufu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…