Kama haijapiga shoti inaweza kuwaka ifungue utoe motherboard yake nje toa screen safisha vyote na benzin nyingi viweke sehemu yenye hewa ya kutosha vikauke kama ni bahati yako haikushoti kitu kwenye motherboard itawaka au unaweza kutumia njia ya kuibeki kwenye ovena google utaoana njia mbalimbali