Maskini JK namuonea huruma!

Nilipata moyo kwamba tunawezaboresha mambo kadha wa kadha ikiwa ni pamoja na kumpora baadhi ya madaraka ila nimepata wasiwasi sana jinsi ile bajeti ya juzi ilivyopitishwa kwa ndiyooooooooooooo.
Kweli hata mabadiliko ya katiba yatapingwa kwa kura ya ndiyooooooooooooooooooooo.
Ndiyooooooooooooooooooo itatupeleka pabaya.
 
unategemea kufuga kuku halafu watage mayai ya bata kisa eti jiran anafuga bata.haya ndo matunda yake
 

Umemwelewa Baky.? Anakwambia Uvundo wa miaka 35 kuusafisha ndani ya miaka 6 ni jambo lisilowezekana kwa kifupi nyie watu hamrizon, mnaongea tu mradi mdomo ni nyumba ya Maneno!!
 

ndio, bunge linamamlaka hayo, ndiyo maana nikaliita KOCHA WAKE hapo juu, lakini halitaki kutupia taulo ulingoni (kupiga kura ya kutokuwa na imani naye) ili mpambano uishe na Jk apumzike.
 

Ndugu, mbona umeng'ang'ania sana miaka 30 iliyopita? Watanzania wa sasa siyo wale wa miaka 30 iliyopita, na wakati huo nchi ilikuwa ya chama kimoja na tulikuwa haturuhusiwi kusema neno zaidi ya zidumu fikra za mwenyekiti na pia rasili mali zetu nyingi zilikuwa hazitumiki na hakukuwa na mitandao ya kijamii kama sasa, habari zote tulitegemea RTD na magazeti ya Uhuru na Mzalendo, pia kumbuka miaka 30 iliyopita idadi kubwa ya wanachama humu Jf tulikuwa watoto, mimi nilikuwa na miaka mitano. Inamaana kiongozi akishindwa kurekebisha makosa ya waliyomtangulia asilaumiwe? Na kama hawezi kurekebisha basi aachie ngazi, tutafute watakaoweza. Usitetee U-dhaifu.
 

Ndugu, usipoteze lengo - please revisit post yangu ya kwanza, nilitangulia kuzungumzia kipindi cha Mzee Ruksa alafu nikaja kipindi cha taugh BENNY hapo tunazungumzia miaka 20 (ishirini) kipindi cha Kambarage niliongezea tu ku-draw attention ya wana JF wajue mambo ya Viongozi kushindwa kuwajibika ipasavyo na udokozi havikuhibuka gafla bin voom! Sasa swali: Je katika kipindi hicho kulikuwepo magazeti ya watu binafsi mangapi? Radio na TV za watu Binafsi ngapi? Vyama vya upinzani vingapi? Kumbuka kwamba katika kipindi hicho kulikuwa na uhuru wa vyombo vya habari hadi leo, vile vile na vyama vya upinzani viliruhusiwa lakini madudu yalikuwa yanaendelea unabated, two decades is no laughing matter. Kusema ulikuwa mtoto is no excuse kwa nini usomi historia au kuhuliza walio kuzidi umri ili at least uwe na basis za kumlahumu bila simile kiongozi wako wa sasa hivi, kumbuka kuna wana JF wa lika lako ambao wanafanya utafiti kwanza (past history) kabla ya ku-file posts za kulahumu leadership quality ya Kiogozi mkuu wa TAIFA kwa kuangalia mabaya tuu wakati wote bila ya kuzungumzia mazuri ambayo amefanyia TAIFA hili within six years of his admistration. See - watu makini usema no research no....

JK ni mswahili mwenzetu sio mtawala (Kiongozi) kutoka nchi za nje (mkoloni), wala sisemi JK ni Malaika Gabriel kwa hiyo hana mapungufu yake kama binadamu wingine tulivyo, cha muhimu hapa ni sisi kubadirisha mind set zetu tuweze kumpa ushirikiano, ushauri na maoni kwa ajili ya ustawi wa TAIFA letu bila kutumia lugha za kashfa na mambo ya kumkatisha tamaa; tutabaki TAIFA la kulalamika mpaka lini? Mbona mtu kama Zitto Kabwe anatoa ushauri/maoni yenye mshiko na Serikali yetu tukufu inamsikiliza - WEWE JE?
 
Alililia wembe tukampa sasa kajikate yeye na sisi wote katukata!
 

U guy look so funny! To keep records clear JK tenure is 7.5 years old. Wake up the huyu unayejaribu kumpaka mafuta kajaa matope u are wasting your time. If u failed to clear the mess of past tenure{if at all there was any} in 7.5 years how many years do u need? Ushauri gan unataka kumpa mtu ambaye alikuwa waziri for more than 15 years na hajajifunza chochote na ukategemea ataufanyia kazi in 2.5 years left? Au unataka aongezewe mda? JK is a complete failure and he has done a demage which is beyond repair! We simply need a new start. U can't fix anything as yet! Watu wengine bwana!
 
Bado tuko kwenye ndege na auto pilot, Kila jambo linajiendesha lenyewe:
 
JK kinachomponza ni woga wa kuchukua maamuzi magumu dhidi ya mafisadi wanaoliteketeza taifa.:dance:
 
[QUOTEJK ni mswahili mwenzetu sio mtawala (Kiongozi) kutoka nchi za nje (mkoloni), wala sisemi JK ni Malaika Gabriel kwa hiyo hana mapungufu yake kama binadamu wingine tulivyo, cha muhimu hapa ni sisi kubadirisha mind set zetu tuweze kumpa ushirikiano, ushauri na maoni kwa ajili ya ustawi wa TAIFA letu bila kutumia lugha za kashfa na mambo ya kumkatisha tamaa; tutabaki TAIFA la kulalamika mpaka lini? Mbona mtu kama Zitto Kabwe anatoa ushauri/maoni yenye mshiko na Serikali yetu tukufu inamsikiliza - WEWE JE?[/QUOTE]

Unataka JK ashauriwe? hilo ni sikio la kufa halisikii dawa! Well, nashauri afanya yafuatayo
1. Tunataka awafikishe mahakamani wezi wote wa EPA waliorudisha na ambao hawakurudisha pesa za EPA.
2. Tunataka awafikishe mahakamani wezi wote wa rada el maarufu chenji ya rada (SIC!)
3. Tunataka awavue magamba wale wote wanaotuhumiwa kwa ufisadi katika chama chake
4. Tunataka atekeleza ahadi zake alizozitoa wakati wa kampeni kwa vitendo
5. Tunataka apunguze matumizi ya serikali kwa kupunguza ukubwa wa baraza la mawaziri na kupunguza safari za ng'ambo
6. Tunataka awachukulie hatua za kisheria na kinidhani wale wote waliotajwa kwenye report ya CAG
7. Tunataka aache kufanya biashara akiwa IKULU kwa mgongo wa Riz1
8. Tunaomba adhibiti mfumko wa bei (how? anao wataalumu awatumie)

I'm sure akiweza kufanya hata nusu ya hayo niliyoyataja katika kipindi kilichobaki basi atarudisha imani ya CCM. Naomba umfikishie tuone kama JK anashaurika na pia ni msikivu
 
Vina panda bei kila siku vitu vinapanda bei x 3.
we mama weeee x 1.
Kajana mmoja anasikika akiimba redioni.
jela jela aaaaah
bora niludi jelaa..
kipande cha sabuni 650
bora niludi jelaaa
nambie bei ya unga itakuajeeee

aliimba kijana mwingine uyo
 

Bukyanagandi

If I get you correctly ni kwamba for the past 35 we have been in ECONOMIC TURMOIL AND MISMANAGEMENT not because of Kikwete but because of CCM. Hivyo kutegemea Kikwete to clear this mess is like repeating the same thing and expecting different results! Therefore if we real want to clear this mess is to get rid of CCM. Correct me if I got you wrong.
 
 

Ndugu Joe, Ndugu wataja wamenielewa vizuri sana - wamenitia moyo, wako makini sana ku-analyse mambo with an open mind! Hii ni dalili tosha kwamba wanajali TAIFA lao na hatma yake kuliko itikadi zao. Ntawajibu in details usiku huu.
 
Ndugu Joe, Ndugu wataja wamenielewa vizuri sana - wamenitia moyo, wako makini sana ku-analyse mambo with an open mind! Hii ni dalili tosha kwamba wanajali TAIFA lao na hatma yake kuliko itikadi zao. Ntawajibu in details usiku huu.

aksante kwa hilo, kila la kheli ndugu yangu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…