Kutoka kwa mwenyekiti wa simba,
ismael aden rage anadai katunzi mmiliki wa tp mazembe amemwambia kuwa wasaka vipaji wa manchester city wame2mwa kumwinda mbwana samatta ambaye samani yake ni paundi mil 10.
Kutoka kwa mwenyekiti wa simba,
ismael aden rage anadai katunzi mmiliki wa tp mazembe amemwambia kuwa wasaka vipaji wa manchester city wame2mwa kumwinda mbwana samatta ambaye samani yake ni paundi mil 10.
hii lugha ya Kiswahili ngumu sana, mkuu una maana vitanda, makabati, meza na mazagazaga yake yana thamani ya paundi mil 10 au Samata ana thamani ya paundi mil 10?
hii lugha ya Kiswahili ngumu sana, mkuu una maana vitanda, makabati, meza na mazagazaga yake yana thamani ya paundi mil 10 au Samata ana thamani ya paundi mil 10?
Kutoka kwa mwenyekiti wa simba,
ismael aden rage anadai katunzi mmiliki wa tp mazembe amemwambia kuwa wasaka vipaji wa manchester city wame2mwa kumwinda mbwana samatta ambaye samani yake ni paundi mil 10.
Kauli alizkwisha toa RAGE zikawa za uongo
1.Tumeisha msajiri KENETH ASAMOAH kwa dau nono=baadae akafika uwanja wa ndege kavaa jezi ya YANGA.
2.Mapema mwanzoni mwa mwaka 2012 tunaanza ujenzi wa uwanja wetu bunju=mmh mwaka unakatika ata kibanda cha kuuza soda hawana.
3.Alisema wamemsajiri NIZAR KHALFAN=siku ya siku akiishia kumtambulisha SUMAYE
4.Aliapa YONDANI hawezi kuichezea YANGA nadhani jibu mnalo hapo