wanawake wengi hasa wa maofisini huwa wanalowa chini kwa wengi wao kutomaswatomaswa na mabosi wao,hivyo hawawezi kaa mbali na tishu kujipangusaUnadhani sisi tuna kazi my dear. Wale wanaokerwa na mambo yasiyo yao ndio wana kazi. Hahahaaa.
Sababu nina uhakika kwa asilimia 80 hajui hata wanawake wanatumia tishu wakati gani.
Hebu atupishe sie. Ila namshauri aende huko akarudie kuchungulia wanawake wanatumiaje tishu sababu hapo hajaona kitu. Hahahaaaa.
hahaaaa tutafanyaje sasazinginezinatisha maana zina mikia kama pweza
Mdada hawezi kukosa njia mbadala...ndio maana wakaweka wipes kwa watakaoshindwa kutumia maji, ila mtoa mada kangangania maji tu yatumike...Kwa hiyo kati ya kubeba hivyo vitu ulivyotaja hapo juu na kutembea na kinyesi kipi bora dada angu?
Ndio weka kwenye begi vyooteUngependa waanze kubeba na vikombe vya kunawia? Kinachofuata sabuni na kitaulo. ... nawaza tu.....
kuna wenzako ni tissue tu..wanadai wanajiskia vibaya wakitumia majiHata mie ndio ninavyojua hivi.
maji ndo yanasafisha..vingne vinatapakaza tuMdada hawezi kukosa njia mbadala...ndio maana wakaweka wipes kwa watakaoshindwa kutumia maji, ila mtoa mada kangangania maji tu yatumike...
Umeona! Aibu iliyoje! Kila kitu maliza asbh kabla ya kuondoka home. Na hii inawezekana kabisa.Ms.Lincoln said:Hivi unawezaje kubanwa na haja kubwa ofisini?
Ni maoni yako siwezi kukupinga.maji ndo yanasafisha..vingne vinatapakaza tu