Bbade
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 6,725
- 21,804
Tutabeba visanduku na sio handbag tena.Ndio weka kwenye begi vyoote
Tutabeba visanduku na sio handbag tena.Ndio weka kwenye begi vyoote
bola utembee na pampas maana hiiiii wamayu.Inapotokea dharula.....
Hiyo mikucha wanayofuga kama mashetani watachambaje ?Hahaa haaa haaa.masistadu ni kama wazungu nao hawachambi na maji sio?
Yaani siku izi wadada wengi haswa warembo na wa maofisini wanamchezo wa kutembea na tishu na vijitambaa flani mfano wa tishu vinakuwa na unyevu unyevu hivi sasa kumbe hizi tissue na vijitambaa ndo wakienda msalani kukata magogo au haja ndogo wanajipangusa wanaondoka eti kisa hawataki mimaji maji mimaji yaani huu ni uchafu wa kiwango cha kimataifa ivi kwa nn mwanamke utumie tissue? Ndo maana nyuzi za maradhi yenu sehemu za siri haziishi mnatembea na uchafu haswa madada wa maofisini, wadada wa chuo na ma sister duu tishu mnajipaka vinyesi
wadada hii kweli hii kitu ni uchafuYaani siku izi wadada wengi haswa warembo na wa maofisini wanamchezo wa kutembea na tishu na vijitambaa flani mfano wa tishu vinakuwa na unyevu unyevu hivi sasa kumbe hizi tissue na vijitambaa ndo wakienda msalani kukata magogo au haja ndogo wanajipangusa wanaondoka eti kisa hawataki mimaji maji mimaji yaani huu ni uchafu wa kiwango cha kimataifa ivi kwa nn mwanamke utumie tissue? Ndo maana nyuzi za maradhi yenu sehemu za siri haziishi mnatembea na uchafu haswa madada wa maofisini, wadada wa chuo na ma sister duu tishu mnajipaka vinyesi
Mwambie ukweli mkuu .wanataka kilamtu awe mkulima .Nani kakuambia dar tuna shida? shida ya nini wakati kila kitu kipo,kama vyakula mnatuletea tunawapa chenchi, na kama ni papa zinapatikana kibao za kihaya,shida mnazo nyie huko porini
Uchafu ni asili ya MTU maana wengi tunadhani kunawa na Maji baada ya kunya au kukojoa ndio usafi bali nijuavyo mimi ni kuwa sehemu za siri lazima ziwe kavu kuepuka unyevu utakaozaa harufu due to bacteria watakaozalishwa na mafangasi mengine.Sio kwamba hawatumii Maji ila baada ya kutumia Maji hujikausha na hivyo vitishu ilikufanya eneo lisiwe na unyevunyevu
Kwanza ni vidogo sanaaaa na laini mnooo kamwe huwezi tumie pekee bila Maji.Kwakweli hajui hizo wipes znatumika vipi ...anatujazia nzi tuu hapa
Ebwana kweli kuna mmoja nimetoka kumnyonya muda huu daaaaah nimekula sana mbolea
Na ile mikucha mirefuu imekaa kama machepe jee ,huwa haihifadh kinyesi kwel?Mi navyojua maji tunatumia ila hizo tishu ni kwaajili ya kufuta maji ili pasiwe na unyevunyevu huko chini.
Huo ni mtazamo wangu, kwa wengine sijui.
Mkuu usisahau kuipitisha hapa mwenge Dsm.Umemaliza Yote. Nina zawadi yako ya krsmas
Umemaanisha nini mdada?Mkuu mbona wewe unatembea na tundu la choo lakn hawakusemi!
Kwani uongo?Unaendaga kuwachungulia wakijifuta?
Ni wadada wangapi wanafanya hivyo kulingana na utafiti wako?
Si bure mada za Wanaume kulalamika juu ya wanawake zimezidi humu.
Hilo la kucha watajibu wahusika maana mm huwa sina utaratibu wa kufuga kucha, kucha zangu mara zoteni fupi.Na ile mikucha mirefuu imekaa kama machepe jee ,huwa haihifadh kinyesi kwel?
Nimeuliza maswali kadhaa hapo, badala uyajibu nawewe unaniuliza "Kwani uongo?"Kwani uongo?