Masingo maza ni wazuri mno

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
6,619
Reaction score
9,163
Nakiri kabisa kati ya wanawake 10 nitakaowatongoza wanane ni masingo maza,na ukweli ni wazuri mno na sifa zao ni hizi:
1.ni wasafi mno na hujitayarisha sana kwa sex
2.wanajua sana sex kunzia romansi hadi kwichikwichi na stamina wanayo,na hutikia vizuri sana rizim ya mapigo yangu kila napobadili huwa wanabadili
3.vitendo vyote mkifanya chumbani hutavisikia mitaani
4.mahali penye hatari watakuambia mapema na wanajua sana kulinda heshima ya mkeo
5.huomba fedha kwa heshima na kwa shida maalumu maana mara nyingi wana biashara zao
6.hawasiti kukwambia siri zao
Tuwapende masingo maza
 
Mmmh 🤔🤔🤔 mama glory wangu anasifa hizo kabisa
 
Lunch yako juu yangu leo mtoa mada ,,

Check me

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 

When desparate person meet incompetency....

Wewe domo zege, yeye ana njaa ya attention....

Hilo sio fungu letu...
 
hat off! hands off! watu na tafiti zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…