Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,306
- 271,572
Timu yetu ya Uchunguzi ambayo bado inaendelea na kazi tuliyoikabididhi, umebaini kwamba Taarifa za Habari zinazotangazwa n.a. Vituo vya TV vya TANZANIA imepuuzwa n.a. wananchi kwa kiwango cha kutisha
Uchunguzi huo umeendelea kufumua chanzo cha kupuuzwa huko huku ikidaiwa sababu kuu ni wananchi kuchoshwa na uongo wa viongozi wa Nchi, ambao kwa % kubwa ndio wanaotangazwa Binafsi kwenye TV hizo, badala ya maendeleo ya Nchi
Taarifa zingine zinaeleza kwamba kutokana n.a changamoto za Maisha yao wananchi wameamua kujikita kwenye vipindi vya kujiliwaza kama Kombolera n.a. Sultan
Natoa Wito kwa Televisheni za Tanzania kutafuta vipindi vya kusisimua vitakavyoziba nafasi badala ya Taarifa za habari za viongozi ambazo hakuna anayetazama
Uchunguzi huo umeendelea kufumua chanzo cha kupuuzwa huko huku ikidaiwa sababu kuu ni wananchi kuchoshwa na uongo wa viongozi wa Nchi, ambao kwa % kubwa ndio wanaotangazwa Binafsi kwenye TV hizo, badala ya maendeleo ya Nchi
Taarifa zingine zinaeleza kwamba kutokana n.a changamoto za Maisha yao wananchi wameamua kujikita kwenye vipindi vya kujiliwaza kama Kombolera n.a. Sultan
Natoa Wito kwa Televisheni za Tanzania kutafuta vipindi vya kusisimua vitakavyoziba nafasi badala ya Taarifa za habari za viongozi ambazo hakuna anayetazama