sabasita
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 1,501
- 393
Ni Tshs 3,000 najua wengi hapa mtanicheka na kunikebehi ila hili suala limenifungua macho ni kwa kiasi gani haya makampuni yanaibia wananchi,ni nani wa kutetea raia dhidi ya wizi huu? kuna hata taasisi ya kutetea consumers kweli nchi hii?
Tarehe 25 june 2017 jumapili, saa saba mchana niliweka kifurushi cha weekend pack cha Tshs 3,000 kikaingia na kuonyesha salio hadi muda wa kuexpire ila nikawa nikijaribu ku browse napata meseji kwamba sina salio, kupiga customer care nikaambiwa kinatakiwa kianze kutumika jumamosi kwa hiyo nisubiri hadi jumamosi ya the coming week ambayo ilkuwa tarehe 1/7/2017.
Nilivumilia hadi hiyo siku,the same story salio likawa halipo kabisa ,kupiga customer care zikaanza danadana, simu wanapokea wanaongea vizuri kweli na kusema tatizo linarepotiwa kwa kitengo husika,kuanzia tarehe 1 hadi leo nimepiga simu zaidi ya kumi na baadhi nimezirekodi ila ya leo ndiyo kali maana nimeambiwa kwenye log yake inaonyesha nilipigiwa simu na kufafanuliwa kwamba kifurushi chambu kime-expire,
ukweli ni kwamba sijapokea simu yoyote kutoka HALOTEL VAS kuhusu hiyo issue,yaani kuna mtu huko kaona ni usumbufu basi kaamua kulimaliza hili suala kirahisi kwa kudanganya
Imeniuma sana,najua wengine mtanirushia kejeli lakini kama tunapokea wawekezaji wanakuja kutuibia kwa style hii basi ni ujinga,kwenye nchi zao customer care inaheshimika na kuna mfumo wa kuwalinda wakija huku ni dharau tu,imagine hiyo 3,000 ya weekend pack kama wameibiwa watu 10,000 HAWA WEZI WA HALOTEL wameingiza shilling ngapi in a day????
Sasa hiyo halopesa yao si ndo wataibia watu mpaka wakome kama 3,000 tu inawashinda ku solve na kuanza kuambiwa nenda ofisini kwetu,sehemu ambayo itabidi nichukue usafiri wa kwenda na kurudi wa sh 2,000.
Nasikia harufu ya watu kupigwa ma laki ya pesa huko halopesa ,simu ikipigwa jibu itakuwa ni kwamba suala lipo kitengo husika,damn slow MOFOS.
Tarehe 25 june 2017 jumapili, saa saba mchana niliweka kifurushi cha weekend pack cha Tshs 3,000 kikaingia na kuonyesha salio hadi muda wa kuexpire ila nikawa nikijaribu ku browse napata meseji kwamba sina salio, kupiga customer care nikaambiwa kinatakiwa kianze kutumika jumamosi kwa hiyo nisubiri hadi jumamosi ya the coming week ambayo ilkuwa tarehe 1/7/2017.
Nilivumilia hadi hiyo siku,the same story salio likawa halipo kabisa ,kupiga customer care zikaanza danadana, simu wanapokea wanaongea vizuri kweli na kusema tatizo linarepotiwa kwa kitengo husika,kuanzia tarehe 1 hadi leo nimepiga simu zaidi ya kumi na baadhi nimezirekodi ila ya leo ndiyo kali maana nimeambiwa kwenye log yake inaonyesha nilipigiwa simu na kufafanuliwa kwamba kifurushi chambu kime-expire,
ukweli ni kwamba sijapokea simu yoyote kutoka HALOTEL VAS kuhusu hiyo issue,yaani kuna mtu huko kaona ni usumbufu basi kaamua kulimaliza hili suala kirahisi kwa kudanganya
Imeniuma sana,najua wengine mtanirushia kejeli lakini kama tunapokea wawekezaji wanakuja kutuibia kwa style hii basi ni ujinga,kwenye nchi zao customer care inaheshimika na kuna mfumo wa kuwalinda wakija huku ni dharau tu,imagine hiyo 3,000 ya weekend pack kama wameibiwa watu 10,000 HAWA WEZI WA HALOTEL wameingiza shilling ngapi in a day????
Sasa hiyo halopesa yao si ndo wataibia watu mpaka wakome kama 3,000 tu inawashinda ku solve na kuanza kuambiwa nenda ofisini kwetu,sehemu ambayo itabidi nichukue usafiri wa kwenda na kurudi wa sh 2,000.
Nasikia harufu ya watu kupigwa ma laki ya pesa huko halopesa ,simu ikipigwa jibu itakuwa ni kwamba suala lipo kitengo husika,damn slow MOFOS.