Kwa haya mapungufu ya kila siku ya CDM ni kithibitisho tosha ya KUWA chadema ni JANGA kuliko CCM.....
Wakati mwingne kuna mambo ya kipuuzi KWELI yanafanyika CHADEMA mpaka mtu unashangaa.....HIVI KUIBINADAMU KABSA CHAMA AU KIONGOZI YOYOTE NDANI YA CHADEMA anashindwa kabsa kutoa 3M kumsaidia huyu kijana aokoe UHAI WAKE?????..acheni masihara kabsa....
Ukweli lazima USEMWE chadema kuna matumizi ya PESA ya ajabu kweli na tena hili uwa ni DILI LA VIONGOZI KUPIGA PESA KUPITIA WAWAKILI......Maana kila siku KESI AZIISHI MAHAKAMANI KUTETEA VIONGOZI kupitia mawakili wale wale na CHAMA KINAGHARAMIA...mwisho wa siku mtu anapewa TEN parcentage yake kwa kutengeneza kesi......mfano mdogo tu CHAMA KITATOA WAKILI KUMSHATI MAKONDA kwa personal issues za MBOWE.......inauma
Wakati mwingne kuna mambo ya kipuuzi KWELI yanafanyika CHADEMA mpaka mtu unashangaa.....HIVI KUIBINADAMU KABSA CHAMA AU KIONGOZI YOYOTE NDANI YA CHADEMA anashindwa kabsa kutoa 3M kumsaidia huyu kijana aokoe UHAI WAKE?????..acheni masihara kabsa....
Ukweli lazima USEMWE chadema kuna matumizi ya PESA ya ajabu kweli na tena hili uwa ni DILI LA VIONGOZI KUPIGA PESA KUPITIA WAWAKILI......Maana kila siku KESI AZIISHI MAHAKAMANI KUTETEA VIONGOZI kupitia mawakili wale wale na CHAMA KINAGHARAMIA...mwisho wa siku mtu anapewa TEN parcentage yake kwa kutengeneza kesi......mfano mdogo tu CHAMA KITATOA WAKILI KUMSHATI MAKONDA kwa personal issues za MBOWE.......inauma