Masikini wanakera sana, nawachukia mnoo

Masikini wanakera sana, nawachukia mnoo

Toka utamani kuwa mwanamke akili zako hazijawahi kukaa sawa
Iko hivi, mahali ambapo Kuna masikini wa kutosha ni taabu tupu. Masikini wanakera tena wanatapisha. Unaweza kwenda sehemu ukakuta watu hawana chakula ukawapa vizuri tu ila baada ya hapo wanakusengenya

Unaweza ukatoa msaada kupitia Kwa viongozi ila hao viongozi Kwa umasikini walionao wakatafuna wao peke yao bila kuwakumbuka raia

Sehemu yenye Umaskini wa kutupwa imejaa maradhi na harufu mbaya za kila aina, masikini anasumbua kweli kweli, niwashamba haswa naukiwaendekeza kuwapa msaada basi hugeuka haki kwao ole wako usimpe basi anaanza kubwata

Masikini sio wakuwasaidia bora uache wateseke tu hawanaga jema
 
Iko hivi, mahali ambapo Kuna masikini wa kutosha ni taabu tupu. Masikini wanakera tena wanatapisha. Unaweza kwenda sehemu ukakuta watu hawana chakula ukawapa vizuri tu ila baada ya hapo wanakusengenya

Unaweza ukatoa msaada kupitia Kwa viongozi ila hao viongozi Kwa umasikini walionao wakatafuna wao peke yao bila kuwakumbuka raia

Sehemu yenye Umaskini wa kutupwa imejaa maradhi na harufu mbaya za kila aina, masikini anasumbua kweli kweli, niwashamba haswa naukiwaendekeza kuwapa msaada basi hugeuka haki kwao ole wako usimpe basi anaanza kubwata

Masikini sio wakuwasaidia bora uache wateseke tu hawanaga jema
Moja ya jukumu MUHIMU SANA ALILOTUPA MWENYEZI MUNGU ni kusaidia wale wasio kuwa na uwezo.
unachotakiwa ni kitimiza jukumu ulilopewa na Mungu, hayo mengine hayakuhusu na kama utampa kiongozi sukari akawape masikini ila yeye akaamua kuitumia bado halijawa tatizo kwani atakuwa nayeye ni masikini lakini muhimu zaidi, Mungu anakuhesabu kuwa umesaidia
Fuata ushauri wangu kwa kuendelea kutoa kwa kadri ulivyo barikiwa, UTAKUJA KUNIMBUKA BAADAE!!!
 
Nashukuru sana Mungu hatuna masikini kwenye familia
Na umasikini ni wa kuogopa kama ugonjwa tu
Omba uwe mtu wa kusaidia na sio wa kusaidiwa
Ushauri wetu huu kila wakati

Unakuta watu maisha yao wanaomba omba tu na anaona kawaida kabisa
On judgement day wataadhibiwa sana hawa
Yaani huku wanajitesa na huko watakiona ( kama mtu anaamini)

Hakuna kushabikia umasikini ila unakuta majitu kutwa linaomba tu
Sipendi vibaya mno jitu omba omba, jitu kopa kopa
 
Masikini wote wana upungufu wa akili yaani akili zao ni finyu hawawezi hata kutafuta namna ya kupata kipato.

Masikini wanaamini kusaidiwa ni haki yao na wanasumbua sana kwenye simu.
Yanajionaga kusaidiwa ni lazima
 
Hivi ni umasikini au ni ufukara........kw jibu lolote hapo ni kwamba umasikini au ufukara ni MKOSI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom