Mara ya mwisho nilpokutana kabla ajaanza kuumwa,alinialika mahali,nlposikia anaumwa nimejaribu kumfatilia sana kupitia hao hao kina mpok,masanja kwenye akaunt zao za fb lakn awakujibu ki2.Jamaa nilsoma nae ktambo hcho.Tunaitaj kujua habar zake tufahamishane
Kama angekuwa kapelekwa Afrika kusini, tayari angekuwa kashazikwa bahati yake hawakumpeleka huko coz angekuwa ka mgimwa na yule jamaa wa katiba nanii dr.vyungu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.