Masikini Sitta, Mwakyembe, Kinana, Nape n.k.

Masikini Sitta, Mwakyembe, Kinana, Nape n.k.

anahitajika mtu mwenye roho ngumu kama harry thuku! ili kutokomeza hawa wakolon weusi
 
Watu tunaendelea kula hela za Lowasa.lakini ikulu mwiko kukanyaga.
 
Ukisikia game iliyochezwa na kina Chenge utabaki mdomo wazi....kuanzia uspika wa mzee sita kwenye mabunge yote,mjadala kuhusu richmond na mzee bila kujuwa game akajiingiza na baadhi ya watu wake na sasa wanamalizika ki siasa kabisa.Wabunge wengi ni Team Lowassa...mawaziri ni wachache saana maana waliaminishwa vingine...Bungeni utadhani kuna msiba...mawaziri hawakai na wanaokaa wananuna na wengine wamepoteza mvuto wa sura siku hizi mbili tatu aliporuhusiwa EL kuendeleza harakati zake za safari ya matumaini.Baadhi ya wanaotia nia ni team EL na watajiondoa na kumuunga mkono.EL akishinda usitegemee mawaziri hawa wa sasa kurudi serikalini.Ukimya wake bungeni alikuwa anawasoma vizuri.Chenge hawezi rudi serikalini sidhani kama anapataka tena.

Mkuu umeadika vizuri, ila mwisho ukaharibu! Kwa taarifa yako tu, Chenge a.k.a "Nyoka wa makengeza", ndie PM kwenye huu mkakati. Na ndio miongoni mwa marafiki wa Edo wanaota pesa kila kona.
 
Naona team lowasa mnajaribu kutafuta huruma za Jakaya Kikwete.Lowasa anakatwa haendi popote.mwizi mkubwa yule.
 
Lowassa will never be the President of this country, keep that in your thick skull.

Hifadhi akiba ya maneno usije ukaumbuka siku za usoni hakuna anayeijua na kuyajua ya kesho. Sipo upande wowote kisiasa but anything can happen bado ni fumbo nani raisi anayekuja.
 
Ni wakati wa CCM kufa na mafisadi wao ndio kitakachookoa nchi hii

guyz let's pray to our savior almighty to get a perfect leader in this year if we allow to be bribed by this dirty politics soon we will be refugees as what happens to our neighbors
 
guyz let's pray to our savior almighty to get a perfect leader in this year if we allow to be bribed by this dirty politics soon we will be refugees as what happens to our neighbors

This is the most corrupt system happen to our country
 
Na wewe ndugu kuwa na Akili hata kiduchuu , mbona aleyekuwepo sasa kaingizwa na hao hao unaowahofia? ? Rostam , Chenge, Lowasa n.k
ndo maana hatutski kurudia makosa. Nadhan unaona nchi inavoyumba kwa ufisadi na ukwepaji kodi wa wafanyabiashara waliomuingiza jk ikulu.
 
Fisadi papa na jambazi sugu lowasa pamoja na kutumia mihela yote hiyo hasafishiki na wala hakuna anayeweza kumtetea. NI KUPOTEZA MUDA JAPO WATETEZI WATAKUWA WAMENUFAIKA NA PESA ZA KIFISADI ANAZOGAWA HOVYO

Lowassa kaiba nini Nchi hii???
WEKA USHAHIDI WAKO HAPA TUUONE.
 
Msilazimishe lugha za watu na kuishia kujichora...!!

guyz let's pray to our savior almighty to get a perfect leader in this year if we allow to be bribed by this dirty politics soon we will be refugees as what happens to our neighbors
 
Hadi leo mimi hakuna mwenye ushahidi kuwa Lowasa kaiba kitu chochote kile.
 
Sasa hapo wakulaumiwa ni nani wewe ambaye hujitambui kwa uroho na ulafi wako wa fedha au yule anayetumia fedha saa nyingine tunatakiwa tujitambue siyo tunakurupuka wewe kama huwezi kutumia akili zako kufanya maamuzi basi fanya maamuzi yako kwa kurubuniwa na hayo ma trillions.
 
="... hawapumui. ni vigumu sana kumshinda lowasa ndani ya ccm" mtauana mwaka huu
 
Ukisikia game iliyochezwa na kina Chenge utabaki mdomo wazi....kuanzia uspika wa mzee sita kwenye mabunge yote,mjadala kuhusu richmond na mzee bila kujuwa game akajiingiza na baadhi ya watu wake na sasa wanamalizika ki siasa kabisa.Wabunge wengi ni Team Lowassa...mawaziri ni wachache saana maana waliaminishwa vingine...Bungeni utadhani kuna msiba...mawaziri hawakai na wanaokaa wananuna na wengine wamepoteza mvuto wa sura siku hizi mbili tatu aliporuhusiwa EL kuendeleza harakati zake za safari ya matumaini.Baadhi ya wanaotia nia ni team EL na watajiondoa na kumuunga mkono.EL akishinda usitegemee mawaziri hawa wa sasa kurudi serikalini.Ukimya wake bungeni alikuwa anawasoma vizuri.Chenge hawezi rudi serikalini sidhani kama anapataka tena.

Nakubaliana kabisa na wewe kuhusu kuchanganyikiwa, kugawanyika na kufadhaika kwa mawaziri na wabunge wa CCM kunakoonekana wazi katika bunge linaloendelea sasa tangia Mwenyekiti kumsafisha huu mgombea. Haijawahi kutokea hali ya namna hii katika chama hiki kikongwe. Inatia huruma kwa kweli. Kingunge leo kapigilia msumari zaidi, jumatatu huko bungeni sijui hali itakuwaje.

Kwa Chenge umekosea. Huyu ndiye 'think tank' wa kundi hili tangia zamani. Ndiye gwiji la uandikaji wa mikataba ya neema kwa kundi hili na hatutashangaa katika serikali hiyo ijayo ndiye atakuwa Waziri Mkuu!
 
Maswali ya msingi ni kwamba "MBONA HOJA YA UFISADI NA RUSHWA HASEMI???
 
Back
Top Bottom