CHIEF MGALULA
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,190
- 889





Ndege imebadilishia gia angani




BREAKING NEWS..
Baada ya Zanzibar kufutiwa uanachama na shirikisho la soccer Africa tff imefanya mabadiliko ya uwakilishi wa vilabu kimataifa ambapo..
Bingwa wa Tanzania bara atashiriki club bingwa Africa.
Bingwa wa Zanzibar atashiriki shirikisho Africa.
Kufuatia mabadiliko hayo simba sports club wamepoteza nafasi ya uwakilishi kimataifa watabaki kuwa mabingwa wa FA tu.




*POVU RUKHSA*
*WAMATOPEEEEENIIIII*
Sent using Jamii Forums mobile app