Dogo G
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 1,052
- 440
Mwanamuziki mwenye sauti laini yenye kukonga nyoyo za mashabiki asiyekuwa na makuu kutoka mkoani kigoma anayetamba na kibao cha #yanje Omary faraji nyembo "ommy dimpoz" amethibitisha ni mgonjwa katika akaunti yake ya facebook leo asubuhi.Ameomba maombi ya mashabiki wake na wanainchi wote kwa ujumla kwa kuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kansa ya koo.
Mungu amfanyie wepesi kijana wetu arejee katika hali yake.
Mungu amfanyie wepesi kijana wetu arejee katika hali yake.