Masikini Kikwete

Masikini Kikwete

Expedito Mduda

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2009
Posts
545
Reaction score
268
Kwa kweli mwezenu ni mshabiki mkubwa sana wa rais mstaafu Benjamin Mkapa.
Leo ameniboa mpaka mwisho. Hivi sijaelewa kama rais wetu mstaafu ameongea toka moyoni!
Kutoka leo si shabiki wake tena.
Nahisi mambo mabaya yanayoongelewa kumhusu ni ya kweli au!
AMENICHANGANYA KWELI MZEE HUYU!! Hawa jamaa hivi hawajui chochote kuhusu ufisadi!!
 
Kwa kweli mwezenu ni mshabiki mkubwa sana wa rais mstaafu Benjamin Mkapa.
Leo ameniboa mpaka mwisho. Hivi sijaelewa kama rais wetu mstaafu ameongea toka moyoni!
Kutoka leo si shabiki wake tena.
Nahisi mambo mabaya yanayoongelewa kumhusu ni ya kweli au!
AMENICHANGANYA KWELI MZEE HUYU!! Hawa jamaa hivi hawajui chochote kuhusu ufisadi!!

Kwani amesemaje na sisi tusio kuwepo huko tujue?
 
Hawa ni wale wale ndugu yangu, tofauti zao ni nyakati!!
 
Kasema JK msafi, kaongoza nchi vizuri sana hivyo watanzania wampe tena aendeleze kurudumu hilo. Kapona wapinzani kuukataa Mwenge eti hawamwenzi Nyerere.

Poor BWM!
 
Mduda upo mbali saaaaaaaana mkuu. Huyu mzee anakashifa za kweli na inabidi pamoja na bifu alilonalo na ***** huyu, ila inabidi ajikombe kwani anajua akiingia mshikaji jua amekwisha. So ukweli anajua nchi inaelekea kubaya sana, lakini afanyeje anapigania roho yake pale. Binafsi pamoja na upuuzi wake aliofanya, i still respect him...lakini kwa hapa ameniboa mbaya sana. Let us wait......lakini kwa nionavyo mimi is better tuandae vijana kuingia mstuni kuikomboa nchi...otherwise itakuwa aibu, shida, na matatizo makubwa zaidi.
 
hivi alikuwa wapi siku zote hizo aje aongee leo kwa taarifa yao hatudanganyiki mwaka huu!
 
Afadhali kamaliza...alikuwa anatema pumba tuu!
Anasema tusiwachague viongozi wanaoponda wengine...kisha anaendelea kuwaponda Lipumba na Slaa.
Khaaa! Hivi hajui Mungu alitupa akili
A%20S%2033.gif
 
nimezima TV nimeacha kuangalia huo upuuzi wao hapo jangwani, niwaambie kitu wanajamvini huyo mkapa ni kuwa amesusia nchi hii anavyosema kikwete ni msafi ni dhihaka hiyo anawaona watanzania majuha kwa kiongozi walienae na anawapa changamoto hapo kama mna akili timamu chagueni kikwete. Alialikwa kwenye mkutano wa kanisa moja kule lushoto alichokiongea wazee wadini walitamani waruke ukuta wakimbie kuhusu serikali iliyopo madarakani. hapo ni akili kichwani mwenu maana alitoa kauli moja kwamba "mimi nimekaa madarakani miaka kumi na hakutokea mtu hata mmoja wa kusema mimi ni chaguo la mungu ila mwenzangu muda mchache mkasema eti ni chaguo la mungu"wazee wa kanisa walificha sura zao chini wenyewe.
 
"mkapa kuwa amesusia nchi hii anavyosema kikwete ni msafi ni dhihaka hiyo anawaona watanzania majuha kwa kiongozi walienae na anawapa changamoto hapo kama mna akili timamu chagueni kikwete."
eti eeeeeee!
 
He had to come out in defense of JK. Remember, he is in the "LIST OF SHAME" liable for prosecution when Slaa takes over. As it stands right now to him, JK is a lesser evil.
 
He had to come out in defense of JK. Remember, he is in the "LIST OF SHAME" liable for prosecution when Slaa takes over. As it stands right now to him, JK is a lesser evil.
This definately is the force behind....
 
Tatizo la viongozi wengi wa kiafrika husema mdomoni yale wenyewe nafsi zao zinawasuta.Ndio maana mataifa mengi ya magharibi huwa wanawakejeli,Hawazungumzii chanzo cha tatizo,bali ulaani tu mtizamo wa nchi za magharibi wakiambiwa ukweli.Usitegemee Mheshimiwa Raisi Mstaafu asimame jukwaani aiponde CCM au JK,kwani itakuwa ni kuasi CCM,Na wanaweza wakamfanyia yale ya Mzee Jumbe.CCM ni syndicate once your in hutakiwi kupingana na wenzako au kuwakosoa adharani.
 
Kwa kweli mwezenu ni mshabiki mkubwa sana wa rais mstaafu Benjamin Mkapa.
Leo ameniboa mpaka mwisho. Hivi sijaelewa kama rais wetu mstaafu ameongea toka moyoni!
Kutoka leo si shabiki wake tena.
Nahisi mambo mabaya yanayoongelewa kumhusu ni ya kweli au!
AMENICHANGANYA KWELI MZEE HUYU!! Hawa jamaa hivi hawajui chochote kuhusu ufisadi!!


Dreaming! eee? Siasa zetu sio person's legitimacy ni party's legitimacy.
 
Naona JK atakuwa kamwambia usiponikampenia ata siku ya mwisho Slaa akiingia utahama nchi
 
Alichofanya BWM ni ku-join the enemy maana alishindwa kumpinga katika nyanja nyingine hasa baada ya kuw mkimya pale Jambo la Mchuchuma lilipoachiwa jamaa walipasue ungeni.

Ile ishu ya MCHUCHUMA ilikuwa mbaya na kama akina Mbunge Kimaro wasingepigwa stop na akina Pinda na Ngeleja (nadhani ikiwa shinikizo la JK kumnusuru BEN), Ben wala asingekanyaga Jangwani leo, ingekuwa kama Sunaye, kwani ulimuona (Sumaye) Jangwani??

Pia Ben kaungana na 'lesser evil' maana anajua akiingia Mpambanaji 'The genuine PhD' Slaa, hakuna rangi ambayo asingeona kama 'rais makini' angeanza ufuatiliaji wa anga zote za kifisadi zilizo mbele ya uso wa nchi yetu hii.

Ndio ile Dr Slaa alisema 'The fear of unknown', yaana wanashindwa kupata picha vichwani mwani 'itakuwaje hali' ijayo kama Dr Slaa atachukua nchi. Kiwewe lazima kiwapate! Umeona hadi anatumia Mwenge kujenga hoja ya kuwa ndio asili ya umoja? BEN akapumzike zake Lushoto asubiri matokeo nani anaingia katika mJengo mweupe!
 
Ben pamoja na Fredsuma watampa SLAA KURA hilo halina ubishi jk atapigiwa na familia yake tu!
 
Binafsi pamoja na upuuzi wake aliofanya, i still respect him...lakini kwa hapa ameniboa mbaya sana. Let us wait......lakini kwa nionavyo mimi is better tuandae vijana kuingia mstuni kuikomboa nchi...otherwise itakuwa aibu, shida, na matatizo makubwa zaidi.
nilishasema toka mwanzo hapa watu wakanizomea, kura sio suluhisho kwasababu watachakachua, suluhisho la kweli ni maandamano,migomo na watu tuhame kutoka kwenye nyumba zetu tuhamie barabarani hapo watang'oka. tukifanya kama wale wa KRIGSTAN watang'oka tu.
 
He had to come out in defense of JK. Remember, he is in the "LIST OF SHAME" liable for prosecution when Slaa takes over. As it stands right now to him, JK is a lesser evil.
Exactly- He was looking scared and sounded stupid. Panic has set in.
 
Back
Top Bottom