Expedito Mduda
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 545
- 268
Kwa kweli mwezenu ni mshabiki mkubwa sana wa rais mstaafu Benjamin Mkapa.
Leo ameniboa mpaka mwisho. Hivi sijaelewa kama rais wetu mstaafu ameongea toka moyoni!
Kutoka leo si shabiki wake tena.
Nahisi mambo mabaya yanayoongelewa kumhusu ni ya kweli au!
AMENICHANGANYA KWELI MZEE HUYU!! Hawa jamaa hivi hawajui chochote kuhusu ufisadi!!
Leo ameniboa mpaka mwisho. Hivi sijaelewa kama rais wetu mstaafu ameongea toka moyoni!
Kutoka leo si shabiki wake tena.
Nahisi mambo mabaya yanayoongelewa kumhusu ni ya kweli au!
AMENICHANGANYA KWELI MZEE HUYU!! Hawa jamaa hivi hawajui chochote kuhusu ufisadi!!