kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 17,646
- 14,792
Yule Shabab Kinana kaanza na gia mbaya - au nuksi inamuandama kutokana na ufisadi wake.
Pia Mungu anasikia kilio cha tembo wa tz (ndovu).
Yule Shabab Kinana kaanza na gia mbaya - au nuksi inamuandama kutokana na ufisadi wake.
kakataa au kasema hajapelekewa taarifa..ni baada ya rpc mwanza kukataa agizo la kamati ya ulinzi ya wilaya (kamati za fitina) kuwakamata wabunge wa chadema.
Nawaomba ccm wakae kitako na kutafakari (soul searching) angalau wawe wanajenga hoja za msingi kujibu zile za chadema, hasa kuhusu wizi na ufisadi dhidi ya watanzania! Acheni polisi wafanye kazi zao halisi kwa umma!
Naona RPC anashuhudia UNYAMA wa CCM Inavyowafanyia CHADEMA Mkoani MWANZA; Yeye kama POLISI anaona Sasa ATUKUZE na KUFUATA SHERIA... zaidi ya Unyama wa CCM
Muone huyo meya wa kichina bwana matata kama vile kachaguliwa kwa uwazi na haki ; shame on him