Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Hiyo ni mechi ya kwanza....kuna mechi ya pili
Mpwa, Bayern akipiga 2-0 kapita. Possible.....
Hiyo ni mechi ya kwanza....kuna mechi ya pili
Wakishinda 2-0????
Cheki rekodi zako vizuri.
eeeee huyo beki 2 wakuitwa danilo hafai bayern wametepeta
Wakishinda 2-0????
Cheki rekodi zako vizuri.
bayern naamin inawategemea sana arjen roben na frank ribery.vp j4 ya tar 21 watakuwepo hawa watu?
Mpwa, Bayern akipiga 2-0 kapita. Possible.....
Hiyo ni mechi ya kwanza....kuna mechi ya pili
Wakishinda 2-0????
Cheki rekodi zako vizuri.
Wafunge 3-0.na siyo 2-0,Asernal walifunga 2-0 wametolewa.
Guardiola huwa anabebwa sana na ma refereeeee..
Jana Neur supposed to be sent off..
Straight red card lefa kwalinda... na bado wamefungwa 3-1
game ya mtoano kati ya bayern na shakter bayern alipewa penalti mapema na mchezaji wa shaktar alipewa red card...
ma refa wanambeba sana guardiola na nina uhakika bila kubebwa marudiano.. Bayern havuki hii stage..
Porto lazima wakapate goli ujerumani.. labda wafanyiwe fitna wapewe red card kama shakter walivyofanyiwa mtoano
Bayern Munich goalkeeper lucky not to get red card after two minutes on the field | For The Win