Masikini Arusha Yetu

Masikini Arusha Yetu

Endeleeni kujipa moyo! Huyu Chokoraa miwisho wake ni october 2015.

Pole sana ,hata CHOKORAA anahaki ya kugombea uongozi,anahaki ya kuchaguliwa kuwa kiongozi ili mradi ajue KUSOMA na KUANDIKA,pia CHOKORAA huyu ana haki ya kumpigia KURA kiongozi amtakaye.

Na mwisho unakiuka HAKI za msingi za katiba ya nchi ya kubagua watanzania sababu ya ITIKADI zao na MAISHA yao.ACHA ndugu yangu.

Na pole nyingi zikuendee kwako,kwa chama chako na familia yako.
 
Ile operesheni yenu ya delete CCM arusha mlikua na maana gani? Inakuaje CCM inapata mitaa 78 na Chadema 75??? What does delete futa CCM arusha mean to your head??? Wanafiki wakubwa nyie

Kwa akili zako nyepesi unaona mmeshinda kweli kwa 78, ulizia takwimu zilizopita mlishinda kwa ngapi na leo pamoja na wizi wote mmepata almost pasupasu na chadema. Kumbuka vyqma vyq upinzani havikuwa mashinani kabisa, now you talk about 50 to 50, is a big fall for ccm. Na subirini 2015, mtapata shida. Makada wenyewe wa ccm wanakiri hali ni ngumu arusha
 
mangola kama mimi ni mpuuzi basi wewe ni lipuuzi manake huwezi kumjua mpuuzi bila kuwa lipuuzi. Huoni wala hutakiona nilichoandika kwa kuwa wewe ni kipofu mwenye macho. CCM hatujipi moyo bali tunatoa takwimu sahihi sio zenu zilizojaa uongo na kujikweza...sisi ni wajanja na tutaendelea kuwa wajanja kwa kuwa tumewashika wengi zaidi yenu.ninyni mmepata jeuri ya mjini arusha kwa sababu ya hao wafanyabiashara jamaa zenu kutoka mkoa wenu
Mleta thread ni mpuuzi kwani sioni alichokiandika. Na ccm waendelee kujipa moyo kwamba arusha watairudisha mikononi mwao. Kama ccm ni wajanja, wakimbilie kule vijijini wakaendelee kuwadanganya wananchi, huku mjini hakuna chenu
 
uongo mwingie huo...mtengeti tumuamini mkurugenzi au tukuamini wewe mzushi..mkurugenzi kasema tumeshinda mitaa 78 wew unadai tumepewa na polisi..mbona wewe usipewe?? mbona musiwataje hao polisi waliotupa? au wewe ulikuwa umebeba yale masanduku ya kura halafu polisi wanakuja wanaingiza kura za ccm???muongo mzandiki mubwa wewe
Ccm ni viumbe vinavyotoweka kwa kasi sana hapa arusha
kutoka mitaa 148 2009 hadi mitaa 70 tena mingine kwa kupewa na mapolis?
 
Watu wanaongea bila kufanya utafiti, Arusha hakuna shida yoyote, maisha yanaendelea bila misukosuko
 
Kwa akili zako nyepesi unaona mmeshinda kweli kwa 78, ulizia takwimu zilizopita mlishinda kwa ngapi na leo pamoja na wizi wote mmepata almost pasupasu na chadema. Kumbuka vyqma vyq upinzani havikuwa mashinani kabisa, now you talk about 50 to 50, is a big fall for ccm. Na subirini 2015, mtapata shida. Makada wenyewe wa ccm wanakiri hali ni ngumu arusha
si ndio nyie mlisema ccm imefutwa arusha?
 
Back
Top Bottom