Hammy Js JF-Expert Member Joined Sep 20, 2017 Posts 3,053 Reaction score 3,271 Mar 29, 2018 #1 Habari wandugu Naomba kuuliza bei( bei ya jumla) na mahali wanaponunua haya mashuka ya mtumba kwa hapa DSM.
Habari wandugu Naomba kuuliza bei( bei ya jumla) na mahali wanaponunua haya mashuka ya mtumba kwa hapa DSM.
mr mpole JF-Expert Member Joined Nov 18, 2013 Posts 418 Reaction score 170 Mar 30, 2018 #2 vitu vya mtumba hakuna jumla unanunua tobota au kwenye minada ya shuka mojamoja
Hammy Js JF-Expert Member Joined Sep 20, 2017 Posts 3,053 Reaction score 3,271 Mar 30, 2018 Thread starter #3 mr mpole said: vitu vya mtumba hakuna jumla unanunua tobota au kwenye minada ya shuka mojamoja Click to expand... Anhaa shukrani nimekuelewa, kuhus mahali wanapouzia je?
mr mpole said: vitu vya mtumba hakuna jumla unanunua tobota au kwenye minada ya shuka mojamoja Click to expand... Anhaa shukrani nimekuelewa, kuhus mahali wanapouzia je?