Habari wanajf...nimesikia taarifa ya Nape kuhusu kushughulikia viongozi wa taasisi na mashirika ya umma yaliyotajwa ktk ripoti ya CAG na bungeni...ni yapi hayo?
Mimi ningekuwa ni yule Ekelege wa TBS ningeitumia siku ya Jumapili 29/04 kukabidhi gari, ofisi na vitu vinavyoendana na ofisi ya MD wa TBS. Bora lawama kuliko fedheha atakayoipata siku ya kuambiwa na JK kabidhi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.