Mashirika gani JK kuyashughulikia

Mashirika gani JK kuyashughulikia

julisa

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2011
Posts
209
Reaction score
50
Habari wanajf...nimesikia taarifa ya Nape kuhusu kushughulikia viongozi wa taasisi na mashirika ya umma yaliyotajwa ktk ripoti ya CAG na bungeni...ni yapi hayo?

Kwa upande wangu nakumbuka TBS na MSD
 
tbs. reli

Mimi ningekuwa ni yule Ekelege wa TBS ningeitumia siku ya Jumapili 29/04 kukabidhi gari, ofisi na vitu vinavyoendana na ofisi ya MD wa TBS. Bora lawama kuliko fedheha atakayoipata siku ya kuambiwa na JK kabidhi.
 
Aiangalie pia na UDOM kwa macho makubwa tena avae miwani yenye lenzi kali ndio ataona vizuri mambo yaliyoko ndani yake.
 
Jamani huyu Ekelege bado yupo tu? Ana subiri nini wakati angetumia muda huu kukabidhi mali zake?
 
Back
Top Bottom