james bendui
JF-Expert Member
- Dec 3, 2015
- 717
- 744
mkuu ni muda sana umeandika hilii ila hata mimi kwa sasa nimuhanga naomba msaada wako kujua hiz boosterNgoja nalifanyia kazi swala lako na kuangalia booster gani ya bei nafuu itakufaa.maana zipo nyingi.
Sent using Jamii Forums mobile app