Mashine za kuunganisha WiFi kama Routers

Mashine za kuunganisha WiFi kama Routers

Joined
Jul 8, 2017
Posts
86
Reaction score
73
Habari, natafuta ving'amuzi vya internet ambavyo vinasaidia kufanya network ya simu kuwa ya kasi zaidi.

Eneo nililopo hakuna network kabisa, yaani network ni E kwa kila mtandao wa kijamii.

TUSAIDIANE.
 
Habari, natafuta ving'amuzi vya internet ambavyo vinasaidia kufanya network ya simu kuwa ya kasi zaidi.

Eneo nililopo hakuna network kabisa, yaani network ni E kwa kila mtandao wa kijamii.

TUSAIDIANE.
Kuna vifaa vinaitwa GSM signal booster ambacho kinaongeza coverage ya minara/mnara wa simu.Je wewe upo wapi kwa hapa Tanzania?
Pia kwa uzoefu wangu karibuni makampuni yote ya simu hapa Tanzania Yamefunga 2G (Edge) sehemu kubwa za vijijini.So Kupata E ina maana wewe upo kwenye 2G tower coverage na hapo una ujanja. Labda ufafanue zaidi ili tujue nini hasa unataka
 
Kuna vifaa vinaitwa GSM signal booster ambacho kinaongeza coverage ya minara/mnara wa simu.Je wewe upo wapi kwa hapa Tanzania?
Pia kwa uzoefu wangu karibuni makampuni yote ya simu hapa Tanzania Yamefunga 2G (Edge) sehemu kubwa za vijijini.So Kupata E ina maana wewe upo kwenye 2G tower coverage na hapo una ujanja. Labda ufafanue zaidi ili tujue nini hasa unataka
Naanza kupata mwanga. Mimi nipo Iringa Kijiji Cha MAZOMBE. Network ya huku ni Edge tu kwa mitandao yote kabisa. Haijawahi kubadilika kuwa 2G, 3G au vingine vyoyote.

Sasa hizo booster unazosemea ni zipi na zinafungwa wapi au natembea nazo everywhere? Maana huku kila sehemu kuna tatizo la network na siyo la muda mfupi bali ndivyo ilivyo miaka nenda miaka rudi
 
Naanza kupata mwanga. Mimi nipo Iringa Kijiji Cha MAZOMBE. Network ya huku ni Edge tu kwa mitandao yote kabisa. Haijawahi kubadilika kuwa 2G, 3G au vingine vyoyote.

Sasa hizo booster unazosemea ni zipi na zinafungwa wapi au natembea nazo everywhere? Maana huku kila sehemu kuna tatizo la network na siyo la muda mfupi bali ndivyo ilivyo miaka nenda miaka rudi
1. Wewe unataka kwa ajili ya simu yako au unataka kwa ajili ya internet ya kuuzia watu??
Au kuna sehemu hapo kijijini akuna kabisa signal za simu??
 
1. Wewe unataka kwa ajili ya simu yako au unataka kwa ajili ya internet ya kuuzia watu??
Au kuna sehemu hapo kijijini akuna kabisa signal za simu??
Nataka kwa ajili ya simu, siyo kwa ajili ya Internet ya kuuzia watu. Hapa kijijini na vijiji jirani internet ni Edge tupu labda uende Mjini Iringa kabisa ndipo unaweza kupata 3G au zaidi.

Sasa mimi ni mtu anayejua umuhimu wa network so nataka kuwa na network katika simu yangu yenye kasi zaidi.
 
Nataka kwa ajili ya simu, siyo kwa ajili ya Internet ya kuuzia watu. Hapa kijijini na vijiji jirani internet ni Edge tupu labda uende Mjini Iringa kabisa ndipo unaweza kupata 3G au zaidi.

Sasa mimi ni mtu anayejua umuhimu wa network so nataka kuwa na network katika simu yangu yenye kasi zaidi.
Unaweza niambia kwa kukadiria ni umbali gani toka kwako mpaka kwenye mnara jirani na kwako?mnara wa kampuni ambayo wewe unatumia line yake???
 
Ni KM 2 hivi mkuu. Natumia line zote, Vodacom, Airtel na Tigo. Kati ya hizo, angalau Vodacom ina signal zenye unafuu kidogo huku Halotel ikiwa haiwezi hata kushika kupigia simu.
 
Ni KM 2 hivi mkuu. Natumia line zote, Vodacom, Airtel na Tigo. Kati ya hizo, angalau Vodacom ina signal zenye unafuu kidogo huku Halotel ikiwa haiwezi hata kushika kupigia simu.
Mkuu nami pia ni mhanga wa networt, hapa nasubiria majibu yako kwa udi na uvumba
 
Ni KM 2 hivi mkuu. Natumia line zote, Vodacom, Airtel na Tigo. Kati ya hizo, angalau Vodacom ina signal zenye unafuu kidogo huku Halotel ikiwa haiwezi hata kushika kupigia simu.
Ngoja nalifanyia kazi swala lako na kuangalia booster gani ya bei nafuu itakufaa.maana zipo nyingi.
 
Hi thread inanifanya nicheke mpaka basi...watu wako desparate na uhitaji wa net kiasi cha kutaka kujifungia boosters...

mdau mwingine anatakankujua uzito wa booster nakama ni portable kiasi cha kutembea nayo.

Nyie makampuni ya simu acheni upuuzi wenu...tokeni maofisini nendeni site mukafunge boosters za data na hasa internet za 4g.

Mumekalia kukimbizana na jaza ujazwe hapa dar wakati huko nyololo hakuna net watu wanataka kufunga booster zao kwenye minara yenu....HAPA KASI NA KAZI TUU.

kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
 
Hi thread inanifanya nicheke mpaka basi...watu wako desparate na uhitaji wa net kiasi cha kutaka kujifungia boosters...

mdau mwingine anatakankujua uzito wa booster nakama ni portable kiasi cha kutembea nayo.

Nyie makampuni ya simu acheni upuuzi wenu...tokeni maofisini nendeni site mukafunge boosters za data na hasa internet za 4g.

Mumekalia kukimbizana na jaza ujazwe hapa dar wakati huko nyololo hakuna net watu wanataka kufunga booster zao kwenye minara yenu....HAPA KASI NA KAZI TUU.

kwa mujibu wa vipimo vya mkemia mkuu
Daah! Kaka kweli hao jamaa wanakera Sana! Yaani tunalazimika kutafuta namna ya kupata network yenye speed huku kila siku tunaona matangazo yote yapo Dar tupu!

Aisee https://Vodacom.co.tz na wenzio
 
Back
Top Bottom