Mama Naa
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 802
- 1,769
Habari watanzania wenzangu..
Naomba msaada machimbo ya mashine za kusaga na kukoboa Kwa wakazi wa Dar es salaam.
Naomba ziwe zile zinazoweza kutumia Diesel na Umeme maana ninakotaka kuwekeza bado hakuna Umeme.
Natanguliza shukrani zangu za dhati...
Asante.
Naomba msaada machimbo ya mashine za kusaga na kukoboa Kwa wakazi wa Dar es salaam.
Naomba ziwe zile zinazoweza kutumia Diesel na Umeme maana ninakotaka kuwekeza bado hakuna Umeme.
Natanguliza shukrani zangu za dhati...
Asante.