Mashine za kuprint pvc cards

Mashine za kuprint pvc cards

uwemba1

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
987
Reaction score
718
Wadau kwa mwenye kujua mashine/printers zinazoprint pvc cards/plastic cards kama vile ATM CARDS, VITAMBULISHO AU BUSINESSCARDS, kwa maana ya zinakowezapatikana nchini Tanzania na pia bei zake zikoje? Anisaidie tafadhali.
 
ATM card?.....unaplan kuanza wizi mkuu?!!...(JOKING:wink2🙂
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Wadau kwa mwenye kujua mashine/printers zinazoprint pvc cards/plastic cards kama vile ATM CARDS, VITAMBULISHO AU BUSINESSCARDS, kwa maana ya zinakowezapatikana nchini Tanzania na pia bei zake zikoje? Anisaidie tafadhali.

Si za ajabu mkuu. Ni epson printers, unaprint idz, cd n.k
 
ATM card?.....unaplan kuanza wizi mkuu?!!...(JOKING:wink2🙂

Hapana mkuu najua kuna tecnolojia ya juu zaidi kutengeneza ATMs ila kunandugu yangu anataka kutengeneza ID cards za wafanyakazi wake mwenyewe.
 
Si za ajabu mkuu. Ni epson printers, unaprint idz, cd n.k
Mini nipo Dar je nawezazipata wapi ? Niliwahi kwenda BMTL pale posta walinambia hawana na nikajaribu kuzunguka maduka ya Mkunguni, KKOO na hapo Mlimani city nikakosa.
 
Mini nipo Dar je nawezazipata wapi ? Niliwahi kwenda BMTL pale posta walinambia hawana na nikajaribu kuzunguka maduka ya Mkunguni, KKOO na hapo Mlimani city nikakosa.

aliezitaja akitusaidia wap zinapatikana itakuwa njema sana,nikiwahi leta nami uzi wa kuhusu hizo mashine zapatikana wapi lakin sikupata msaada vile leo yupo ambae ana idea na hzo mashine atusaidie
 
aliezitaja akitusaidia wap zinapatikana itakuwa njema sana,nikiwahi leta nami uzi wa kuhusu hizo mashine zapatikana wapi lakin sikupata msaada vile leo yupo ambae ana idea na hzo mashine atusaidie
Mkuu mtafute MIUNDOMBINU amezungumzia sana hizo EPSON Printers humu na anajua wapi zinauzwa
 
Mini nipo Dar je nawezazipata wapi ? Niliwahi kwenda BMTL pale posta walinambia hawana na nikajaribu kuzunguka maduka ya Mkunguni, KKOO na hapo Mlimani city nikakosa.

Mwanza ziko kibao; na zinatokea Uganda na Kenya; kwa sasa zinaenda kuanzia 700,000/= ila kumbuka lazima ujifunze kuset na ujue material gani inatumika kufanya kazi hizo.
 
Asanteni wadau wote mliochangia hata hivyo ninaomba kwa atakayekuwa na new infos aziweke tusaidiane na nitawapm baadhi ya wadau hata hivyo nikipata jipya pia nitaliweka open ili wengine pia wafaidi
 
Asanteni wadau wote mliochangia hata hivyo ninaomba kwa atakayekuwa na new infos aziweke tusaidiane na nitawapm baadhi ya wadau hata hivyo nikipata jipya pia nitaliweka open ili wengine pia wafaidi

Kama lengo ni kupring ID za staff wake tu, ana staff wangapi? kwa sababu ujuzi, gharama za kununua kuenda zikawa kubwa kulinganisha na kupeleka kufanyiwa hiyo kazi na watu wenye uzoefu wa hiyo kazi na hasa kama ubora ni kigezo muhimu kwake.

Kama anaihitaji kwa matumizi yake na aitumie kibiashara, ni wazo zuri akinunu hiyo mashine ila afanye utafiti wa kutosha wa mambo ya muhimu kama aina ya material atakayoprintia, wino unaotumika, features za hizo ID (Security), wepesi wa kutumia software ya ku design IDs n.k.
 
Kama lengo ni kupring ID za staff wake tu, ana staff wangapi? kwa sababu ujuzi, gharama za kununua kuenda zikawa kubwa kulinganisha na kupeleka kufanyiwa hiyo kazi na watu wenye uzoefu wa hiyo kazi na hasa kama ubora ni kigezo muhimu kwake.

Kama anaihitaji kwa matumizi yake na aitumie kibiashara, ni wazo zuri akinunu hiyo mashine ila afanye utafiti wa kutosha wa mambo ya muhimu kama aina ya material atakayoprintia, wino unaotumika, features za hizo ID (Security), wepesi wa kutumia software ya ku design IDs n.k.
Asante kwa ushauri
 
Ninayo mpya coloured bila wino. Fargo printer nataka 2mil ktk box. 0767386011
 
mkuu nilishawahi kuagiza si chini ya 4m mkuu so kama unazitaka check na kampuni za s.Africa. wako fresh.
 
www.evolis.com mkuu cheki na hawa jamaa wako fresh sana watumie kwanza email then watakutumia kwenye email yako variety ya product zao .Ningekushauri ununua zile ambazo zinaprint 2 sides na pia za plastic na kama unauwezo zaidi unaweza ukapata zenye magnetic kama za benki ili uweze kupambana na soko.
 
mkuu nilishawahi kuagiza si chini ya 4m mkuu so kama unazitaka check na kampuni za s.Africa. wako fresh.

Wacha bei za ajabu mkuu;

Kwa kawaida mashine ikiwa na bei kubwa ujue inaweza kutumiwa na unskilled person; lakini hizi ambazo mi naziongelea ni bei nzuri kuanzia 700,000/= hadi 1.5m; uendeshaji wake - namaanisha wino ni kama Tshs. 10,000/= kwa mills 100; Tatizo litakuja kwenye ujuzi wa kuitumia; lazima ujue graphics software na uwe kweli makini kwenye kazi hizo ndo utaweza kufanya kazi yenye uhakika.
 
mkuu sawa ila ninazozungumzia mimi ni double sided (ikiwa na maana unaweza ukaprint pande zote mbili.
Wacha bei za ajabu mkuu;

Kwa kawaida mashine ikiwa na bei kubwa ujue inaweza kutumiwa na unskilled person; lakini hizi ambazo mi naziongelea ni bei nzuri kuanzia 700,000/= hadi 1.5m; uendeshaji wake - namaanisha wino ni kama Tshs. 10,000/= kwa mills 100; Tatizo litakuja kwenye ujuzi wa kuitumia; lazima ujue graphics software na uwe kweli makini kwenye kazi hizo ndo utaweza kufanya kazi yenye uhakika.
 
inatakiwa kukaa chini ujifunze vizuri hiyo kazi hakuna cha mashine wala hata ukiwa na printer ya laki unusu unagonga na kitu quality kinatoka
 
Epson L805 Zinapatikana Kariakoo Tshs 720,000- 780,000. Inaprint PVC, CD etc na advantage inatumia refill ink ambazo unaweza kupata mpaka 5,000 chupa ndogo au kubwa 25,000 kubwa per colour.

Capture.JPG

Epson-L805-Ink.jpg
 
Back
Top Bottom