Expedito Mduda
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 522
- 240
Tupo kwenye mapambano ya kuhakikisha sisi pamoja na ndugu zetu watanzania tunajiondoa kutoka katika hili dimbwi la umasikini kwa kutumia njia za kawaida sana.
Sisi tunatengeneza mashine za kutotoa vifaranga vya ndege aina mbali mbali. Mashine zetu ni za kisasa sana maana zina uwezo wa kudhibiti joto kwa kutumia kifaa cha dijitali hivyo kuweza kuwa na ufanisi mkubwa sana.
Mashine zetu zinageuza mayai zenyewe yaani mashine zetu ni "full automatic".
Bei za mashine zetu ni za kawaida kabisa.
Tupo Iringa mjini na mashine hizi tunaweza kukufikishia popote ulipo hapa Tanzania.
Tuwasiliane kwa namba hizi 0753903809 na 0655903809 au tembelea EXPEDITO CASTORY MDUDA
KARIBUNI WOTE
Sisi tunatengeneza mashine za kutotoa vifaranga vya ndege aina mbali mbali. Mashine zetu ni za kisasa sana maana zina uwezo wa kudhibiti joto kwa kutumia kifaa cha dijitali hivyo kuweza kuwa na ufanisi mkubwa sana.
Mashine zetu zinageuza mayai zenyewe yaani mashine zetu ni "full automatic".
Bei za mashine zetu ni za kawaida kabisa.
Tupo Iringa mjini na mashine hizi tunaweza kukufikishia popote ulipo hapa Tanzania.
Tuwasiliane kwa namba hizi 0753903809 na 0655903809 au tembelea EXPEDITO CASTORY MDUDA
KARIBUNI WOTE