Mashine za kutotolea vifaranga

Expedito Mduda

JF-Expert Member
Sep 22, 2009
522
240
Tupo kwenye mapambano ya kuhakikisha sisi pamoja na ndugu zetu watanzania tunajiondoa kutoka katika hili dimbwi la umasikini kwa kutumia njia za kawaida sana.

Sisi tunatengeneza mashine za kutotoa vifaranga vya ndege aina mbali mbali. Mashine zetu ni za kisasa sana maana zina uwezo wa kudhibiti joto kwa kutumia kifaa cha dijitali hivyo kuweza kuwa na ufanisi mkubwa sana.

Mashine zetu zinageuza mayai zenyewe yaani mashine zetu ni "full automatic".

Bei za mashine zetu ni za kawaida kabisa.

Tupo Iringa mjini na mashine hizi tunaweza kukufikishia popote ulipo hapa Tanzania.

Tuwasiliane kwa namba hizi 0753903809 na 0655903809 au tembelea EXPEDITO CASTORY MDUDA
KARIBUNI WOTE
 
capacity yake ni kutota mayai mangapi? na bei yake ni ngapi? made in wapi?quaranteen nii muda gani?
 
Weka bei na uwezo wake hizo mashine!Mimi nahitaji sana!!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
[h=3]BEI YA MASHINE ZA KUANGUA VIFARANGA[/h]
Tunazo mashine za kuangua vifaranga za ukubwa mbalimbali kama ifuatavyo:
1. Mashine ya mayai 180 = Tsh. 1,500,000
2. Mashine ya mayai 300 =Tsh. 2,200,000
3. Mashine ya mayai 600 =Tsh 2,700,000
4. Mashine ya mayai 1000 = Tsh3,5000,000
5. Mashine ya mayai 1500 = Tsh. 4,300,000
KUMBUKA
Mashine zetu zina sifa zifuatazo:​
1. Joto lake huoneshwa kwa kidhibiti joto cha kidijitali​
2. Mashine zetu hugeuza mayai zenyewe (automatic incubators)​
3. Mashine zetu hazina usumbufu kabisa na spea zake ni nyepesi kupatikana​
4. Mashine zetu zina ufanisi wa hadi aslimia tisini (90% efficiency)​
5. Mashine zetu haziharibiki mara kwa mara​
KARIBUNI WOTE​
Sisi tupo Iringa mjini. Watu wengi wamedai mashine zao zina ufanisi mkubwa tofauti na ukweli. Ukitaka kununua mashine kwetu tunakushauri ututembelee kwanza ili uonane na watengenezaji lakini pia uonane na wale ambao wanazitumia ili wakupe ushahidi wa jinsi mashine hizi zinavyoweza kutotoa vifaranga kwa ufanisi mkubwa bila usumbufu.​
Kwa mawasiliano:​
0753903809 au 0655903809​
Mnakaribishwa sana
Tembelea: EXPEDITO CASTORY MDUDA
 
Mkuu Mduda, msaada kidogo kwa hizi mashine - vipi umeme ukikatika, ukizingatia hali ya umeme usioaminika ktk Nchi yetu, inakuwaje?

BTW, nimeipenda blog yako, nadhani nitajifunza mambo kadhaa ya muhimu!
 
BEI YA MASHINE ZA KUANGUA VIFARANGA


Tunazo mashine za kuangua vifaranga za ukubwa mbalimbali kama ifuatavyo:
1. Mashine ya mayai 180 = Tsh. 1,500,000
2. Mashine ya mayai 300 =Tsh. 2,200,000
3. Mashine ya mayai 600 =Tsh 2,700,000
4. Mashine ya mayai 1000 = Tsh3,5000,000
5. Mashine ya mayai 1500 = Tsh. 4,300,000
KUMBUKA
Mashine zetu zina sifa zifuatazo:​
1. Joto lake huoneshwa kwa kidhibiti joto cha kidijitali​
2. Mashine zetu hugeuza mayai zenyewe (automatic incubators)​
3. Mashine zetu hazina usumbufu kabisa na spea zake ni nyepesi kupatikana​
4. Mashine zetu zina ufanisi wa hadi aslimia tisini (90% efficiency)​
5. Mashine zetu haziharibiki mara kwa mara​
KARIBUNI WOTE​
Sisi tupo Iringa mjini. Watu wengi wamedai mashine zao zina ufanisi mkubwa tofauti na ukweli. Ukitaka kununua mashine kwetu tunakushauri ututembelee kwanza ili uonane na watengenezaji lakini pia uonane na wale ambao wanazitumia ili wakupe ushahidi wa jinsi mashine hizi zinavyoweza kutotoa vifaranga kwa ufanisi mkubwa bila usumbufu.​
Kwa mawasiliano:​
0753903809 au 0655903809​
Mnakaribishwa sana
Tembelea: EXPEDITO CASTORY MDUDA
Ukishawauzia mashine waambie wateja wako wafike Mafinga-SIZA AGROPROCESSING & GEN TRADERS LTD Wapate fertilized eggs wa kuku wa Malawi, kwa maelezoo zaidi wapige 0754419458.
 
[h=3]BEI YA MASHINE ZA KUANGUA VIFARANGA[/h]
Tunazo mashine za kuangua vifaranga za ukubwa mbalimbali kama ifuatavyo:
1. Mashine ya mayai 180 = Tsh. 1,500,000
2. Mashine ya mayai 300 =Tsh. 2,200,000
3. Mashine ya mayai 600 =Tsh 2,700,000
4. Mashine ya mayai 1000 = Tsh3,5000,000
5. Mashine ya mayai 1500 = Tsh. 4,300,000
KUMBUKA
Mashine zetu zina sifa zifuatazo:​
1. Joto lake huoneshwa kwa kidhibiti joto cha kidijitali​
2. Mashine zetu hugeuza mayai zenyewe (automatic incubators)​
3. Mashine zetu hazina usumbufu kabisa na spea zake ni nyepesi kupatikana​
4. Mashine zetu zina ufanisi wa hadi aslimia tisini (90% efficiency)​
5. Mashine zetu haziharibiki mara kwa mara​
KARIBUNI WOTE​
Sisi tupo Iringa mjini. Watu wengi wamedai mashine zao zina ufanisi mkubwa tofauti na ukweli. Ukitaka kununua mashine kwetu tunakushauri ututembelee kwanza ili uonane na watengenezaji lakini pia uonane na wale ambao wanazitumia ili wakupe ushahidi wa jinsi mashine hizi zinavyoweza kutotoa vifaranga kwa ufanisi mkubwa bila usumbufu.​
Kwa mawasiliano:​
0753903809 au 0655903809​
Mnakaribishwa sana
Tembelea: EXPEDITO CASTORY MDUDA

edit namba 4 hapo kitu kama hiyo figa umeikosea
 
MIMI NALETA MASHINE KWA ORDER NINAMASHINE ZA UKUBWA WOWOTE UNAOUTAKA NA BEI ZANGU NI NZURI SANA.
KWA MAYAI
528 EGGS = 880USD MPAKA UNAIPOKEA DAR
880EGGS = 1000USD
1056 EGGS = 1200USD

KARIBUNI EMAIL YANGU NI honestaugustine@yahoo.com
 
MIMI NALETA MASHINE KWA ORDER NINAMASHINE ZA UKUBWA WOWOTE UNAOUTAKA NA BEI ZANGU NI NZURI SANA.
KWA MAYAI
528 EGGS = 880USD MPAKA UNAIPOKEA DAR
880EGGS = 1000USD
1056 EGGS = 1200USD

KARIBUNI EMAIL YANGU NI honestaugustine@yahoo.com
 
MIMI NALETA MASHINE KWA ORDER NINAMASHINE ZA UKUBWA WOWOTE UNAOUTAKA NA BEI ZANGU NI NZURI SANA.
KWA MAYAI
528 EGGS = 880USD MPAKA UNAIPOKEA DAR
880EGGS = 1000USD
1056 EGGS = 1200USD

KARIBUNI EMAIL YANGU NI honestaugustine@yahoo.com

mkuu mbona umedandia biashara ya watu?
Ina maana biashara unayo ila ulikua unangojea lift udandie?
si ungeanzisha thread yako kiustaarabu zaidi?
Enewei, ni hayo tu
 
Mkuu mashine zako unazotoa wapi?funguka zaidi mkuu watu tukupe order. na pia kama tukikubaliana hela ntakutumia kwa njia gani?au kuna mtu huku dar ambaye ndio anakua anapokea hela?
MIMI NALETA MASHINE KWA ORDER NINAMASHINE ZA UKUBWA WOWOTE UNAOUTAKA NA BEI ZANGU NI NZURI SANA.
KWA MAYAI
528 EGGS = 880USD MPAKA UNAIPOKEA DAR
880EGGS = 1000USD
1056 EGGS = 1200USD

KARIBUNI EMAIL YANGU NI honestaugustine@yahoo.com
 
Ukishawauzia mashine waambie wateja wako wafike Mafinga-SIZA AGROPROCESSING & GEN TRADERS LTD Wapate fertilized eggs wa kuku wa Malawi, kwa maelezoo zaidi wapige 0754419458.

Mayai yako unayauza bei gani na limitation yako ni kuuza kwa wateja wa wa Mafinga tu au unaweza kumuuzia mtu popote Tanzania kwa kumfikishia mayai alipo?

Ungetupiamo na kapicha ka hao kuku wa Malawi ingekuwa poa zaidi mkuu
 
Mashine zetu ni za china as usual, ukihitaji basi tunakutana tuko mwenge na unaweka order yako bila shaka utakabidhiwa mzigo wako after 45days nashukuruna karibu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom