Panya Mabaka
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 619
- 560
Hivi vitambulisho vya kupigia kura kwa jina moja vinaitwaje? Maana huku unyamwezini vinaitwa vipalata. Sehemu nyingine vinaitwaje au ndo hivyohivyo? Msaada plz
Kisibo (Kifaa cha utambuzi wa sifa za kibiolojia)
BVR machine=Kisibo. Kwa ufafanuzi zaidi jaribu kuwasiliana na BAKITA.Hiki kinatambua au kinasajili (andikisha)?